si kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
si kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
Nimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!
Uwe unakuja kwenye matukio live, kwenye thread kidogo sipo active.
jamaa wamerusha majini yote atulie ya.eshindikana unaambiwa akiona ya congo yana exp anaondoka hata usiku na ndege anarudi kesho yakr
Kama mambo ya niyonxima Enzo za yanga powerbank iki exp anaenda aghakan anapigwa hogo viongozi wanambiwa kaumia huyoo Rwanda akirudi nyoko yokolileee qlogeki