Fiston Mayele anazidi kutetema Misri

si kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
7bu kaondoka kwa AMANI na BARAKA tele za UONGOZI na MASHABIKI
 
Kusema ukweli Fiston Kalala Mayele, alikuwa ni mtu na nusu. Na ndiyo maana pengo lake mpaka muda huu pale Jangwani, bado halijazibwa.
 
Kwani alikuwa na bao moja hata sii ndiyo ana haya mabao mawili tu kwa sasa tangu ahamie hapo.
 
Nimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!
Uwe unakuja kwenye matukio live, kwenye thread kidogo sipo active.

Na nilipotea kiasi, so ni ngumu kunijua.
Nifah,

nasikia baada ya ule 'Utapeli' wenu pale Jangid Plaza, ukapigwa chini na mshikaji wako, hadi leo unabutuliwa hovyo na masela. Hujapata mtu wa kudumu?
 
jamaa wamerusha majini yote atulie ya.eshindikana unaambiwa akiona ya congo yana exp anaondoka hata usiku na ndege anarudi kesho yakr

Kama mambo ya niyonxima Enzo za yanga powerbank iki exp anaenda aghakan anapigwa hogo viongozi wanambiwa kaumia huyoo Rwanda akirudi nyoko yokolileee qlogeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…