Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,966
- 8,976
7bu kaondoka kwa AMANI na BARAKA tele za UONGOZI na MASHABIKIsi kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
Mayele kaondoka Kwa amanisi kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
Kabisa mkuuMayele kaondoka Kwa amani
Aliimalizia? Na je alikuwa anaisimulia wapi?Nakukubali tangu enzi za jangid plaza bado tupo pamoja by the way mwambie dingilai amalizie NONOKA basi katuweka sana
Hivi upo kweli wewe bi dada?Kaotea...
Si mlisema amelogwa hafungi
Nifah,Nimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!
Uwe unakuja kwenye matukio live, kwenye thread kidogo sipo active.
Na nilipotea kiasi, so ni ngumu kunijua.
MahabaaaaaMayele ni jini
Alafu huyu mwamba watu walikuwa wanamlinganisha na kibu denisi
Mwasibu uchwara OKW BOBAN SUNZUAlafu huyu mwamba watu walikuwa wanamlinganisha na kibu denisi