Fisi kafikaje kwenye kikao

Hii ni Tanzania mkuu?

Ina maana ni halali kumiliki wanyama pori?
 
Amealikwa na Pinda, huu ni usafiri wake wa kuwindia albino usiku katika harakati zake za kuwania urais.
 
Nliona neno fish badala ya fisi sijui uzee unaninyemelea....
 
Tanzania mkuu si unaona meza imefunikwa bendera ya ccm

Mwanzoni niliwaza hivyo pia...

Lakini nilipotazama viunoni mwa baadhi ya hao askari sijaona mikanda yao ile yenye nakshi za bendera ya Tanzania...
 
Mwanzoni niliwaza hivyo pia...

Lakini nilipotazama viunoni mwa baadhi ya hao askari sijaona mikanda yao ile yenye nakshi za bendera ya Tanzania...
nadhani kwa vigezo hizo nimechemka
 
Hao ni ccm wanatafuta dawa ya ukawa ika wame chemka!
 
Hii ni Tanzania mkuu?

Ina maana ni halali kumiliki wanyama pori?
Bila shaka ilikuwa Mbeya, namuona kamanda Diwani Athuman hapo! TATIZO ni hivyo vitambaa vya chama!
 
Mwanzoni niliwaza hivyo pia...

Lakini nilipotazama viunoni mwa baadhi ya hao askari sijaona mikanda yao ile yenye nakshi za bendera ya Tanzania...
ila kama kulia kabisa mezani kuna mtu kama pinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…