Fisadi na Jangili ndio wanaotegemewa CCM

Fisadi na Jangili ndio wanaotegemewa CCM

Mkwawa

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
1,334
Reaction score
1,466
CCM baada ya kupigiwa kelele muda mrefu kuwa imekithiri rushwa, wizi, ujangili, uhujumu, uzembe na kukosa umakini ndani ya chama na serikalini imeamua kuwaonyesha watanzania wazi kuwa kelele zao na kilio chao cha kusafisha serikali dhidi ya maovu hayo hakiwezi kusikilizwa kwani kina watumia sasa watuhumiwa wote kuanzia wa EPA, meno ya Tembo, Richmond, Minara, deepgreen, mikataba mibovu, wezi wa kodi za umma kukisaidia kukieneza chama chao.

Majngili ndio wenye sauti na wala Rushwa ndio wenye chama. Wananchi wameachwa solemba njia ya panda wakiwa wanaduwaa. Jela zetu zinakwenda masikini na wasio na hatia.

Tuungane kuukata udhalimu na kuenzi uhalifu. Tuungane kuijenga Tanzania yenye maadili na nuru ya kweli kwa kukataa wahalifu hawa kwa vitendo.

Chief Mkwawa
 
CCM baada ya kupigiwa kelele muda mrefu kuwa imekithiri rushwa, wizi, ujangili, uhujumu, uzembe na kukosa umakini ndani ya chama na serikalini imeamua kuwaonyesha watanzania wazi kuwa kelele zao na kilio chao cha kusafisha serikali dhidi ya maovu hayo hakiwezi kusikilizwa kwani kina watumia sasa watuhumiwa wote kuanzia wa EPA, meno ya Tembo, Richmond, Minara, deepgreen, mikataba mibovu, wezi wa kodi za umma kukisaidia kukieneza chama chao.

MTABAKI NA KUPIGA KELELEEEEE LAKINI WANANCHI WAMESHAWAJUA KUWA CDM NI KIKUNDI CHA WACHUMIA TUMBO TU ...NA JANA ARUSHA UKWELI UMEONYESHA CCM BADO CHAMA dume ..... big kinana cdm wameshaonja joto la jiwe

Majngili ndio wenye sauti na wala Rushwa ndio wenye chama. Wananchi wameachwa solemba njia ya panda wakiwa wanaduwaa. Jela zetu zinakwenda masikini na wasio na hatia.

Tuungane kuukata udhalimu na kuenzi uhalifu. Tuungane kuijenga Tanzania yenye maadili na nuru ya kweli kwa kukataa wahalifu hawa kwa vitendo.

Chief Mkwawa
MTABAKI NA KUPIGA KELELEEEEE LAKINI WANANCHI WAMESHAWAJUA KUWA CDM NI KIKUNDI CHA WACHUMIA TUMBO TU ...NA JANA ARUSHA UKWELI UMEONYESHA CCM BADO CHAMA dume ..... big kinana cdm wameshaonja joto la jiwe
 
MTABAKI NA KUPIGA KELELEEEEE LAKINI WANANCHI WAMESHAWAJUA KUWA CDM NI KIKUNDI CHA WACHUMIA TUMBO TU ...NA JANA ARUSHA UKWELI UMEONYESHA CCM BADO CHAMA dume ..... big kinana cdm wameshaonja joto la jiwe

Yawezekana ni chama dume lisiloweza kuzalisha tena... Yapo madume mengi tu yaliyohasiwa hayawezi kuzlisha tena....na hiyo hata wao wanajua
 
CCM baada ya kupigiwa kelele muda mrefu kuwa imekithiri rushwa, wizi, ujangili, uhujumu, uzembe na kukosa umakini ndani ya chama na serikalini imeamua kuwaonyesha watanzania wazi kuwa kelele zao na kilio chao cha kusafisha serikali dhidi ya maovu hayo hakiwezi kusikilizwa kwani kina watumia sasa watuhumiwa wote kuanzia wa EPA, meno ya Tembo, Richmond, Minara, deepgreen, mikataba mibovu, wezi wa kodi za umma kukisaidia kukieneza chama chao.

Majngili ndio wenye sauti na wala Rushwa ndio wenye chama. Wananchi wameachwa solemba njia ya panda wakiwa wanaduwaa. Jela zetu zinakwenda masikini na wasio na hatia.

Tuungane kuukata udhalimu na kuenzi uhalifu. Tuungane kuijenga Tanzania yenye maadili na nuru ya kweli kwa kukataa wahalifu hawa kwa vitendo.

Chief Mkwawa

Nakuunga mkono chief wangu! Cheki signature yangu hapo chini!
 
Wa2 wengi 2sha vunja 2ndu wame baki wale wasie na mabawa.
 
tshirts zao za ccm nadekia nyumbani kwangu, na vilemba vyao nafutia mavumbi! kanga zao za ccm, nimeweka kwenye banda la vifaranga kuwakinga na baridi!! nawatema ccm puuuuuuu! na wakija tena kugawa vitu vyao, nachukua, kisha nakwenda kupigia CDM kura 2015! period!
 
Hii ndiyo inayo takiwa tuwabaini Mafisadi na si kujaribu jaribu watu tusio wajua.
 
MTABAKI NA KUPIGA KELELEEEEE LAKINI WANANCHI WAMESHAWAJUA KUWA CDM NI KIKUNDI CHA WACHUMIA TUMBO TU ...NA JANA ARUSHA UKWELI UMEONYESHA CCM BADO CHAMA dume ..... big kinana cdm wameshaonja joto la jiwe
Ukinyimwa akili ukapewa tumbo umeteswa sana. Kinana Jangili na EL fisadi ndio nguzo ya CCM kwa sasa. Je wewe unayeshabikia sidhani hata kama unajua unachofanya. Kweli wagonjwa wakose mashine za kufulia kwa ajili ya biashara za Kinana, na tembo wafe meno na pembe zote ziuzwe bila Taifa kupata hata sumni kwa ajili ya kinana. tuuze silaha Somalia fedha ziingie mfukoni kwa mtu mmoja, leo ndiye wa kusafisha kazi kweli kweli. Mzee wa mamvi leo kaja na mpya eti fedha huwa anachangiwa na watu kabla hajahonga makanisa duuu kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom