first year udsm mbadilike.....

ni noma...mimi sipendi kweli kulala na.mtu ila last year ikabidi nimsaidie dada flani hivi kwa imani kwamba dis year Mungu ataniona tu.thnx God nimepata chumba..ni majangaaaa


Safi sana sis gladys...
Nimekapenda kamoyo kako, sema basi tu! tayari umeshapata chumba, kama usingepata, ningekubeba buuure...
 
Last edited by a moderator:
Hii tabia ya mtu kukubali kukubeba mkiwa home mkoan afu akifika chuo anapata tamaa afu anabadilika sio nzuri haiezekan mtu umemsaidia mambo mengi kila cku unanunua mb ili achek mambo yake ikiwezekana unamuazima hadi pc afu akija dar akikutana na mtu anayetaka kumbeba na kumlipa hela zaid anakusahau ww ukipiga cm hapokei huu ni ushamba hata cc tulikua freshers na wala hatukuwa na tamaa ya boom la room. Mnaboa sana kama hutaki bora umwambie mtu mapema na wala sio kumchelewesha mpaka chuo kinafungua eti ohhhh sijui nn... Acheni USHAMBA

Mbegesa
 
Moderator
Do something..

Safi sana kwa kuwajulisha Mods kuhusu kinachoendelea hapa.


report-40b.png
 
TANGAZO

kwa kijana yeyote wa first year (national institute of transport) aliye tayari anitafute tupange ghetto moja, pande za mabibo!

sharti awe kutoka mwanza!

nitumie pm tuongee!
 
duh!!!!!! nadhani first year hawajajua changamoto za hapa chuo, humba tu wanauza bei wanasahau na wao mwakani wapo mzigoni kuomba kubebwa, ngoja watajionea wenyewe, pole ndugu yangu tafuta tu room nyingine utakaa kwa amani tele.
 
kwakweli first year tuwe wastaarabu. me mwenyewe nimewasaidia madogo wengi sana lakini cha kushangaza leo hii ukiwapigia simu haawapokei wegine tumekubaliana mtaani kuwa tutakaa wote lakini ghafla wamenibadilikia. ila wakumbuke mwakani mambo yao yatakuwa magumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom