Mambo mengine ni kituko,wizi na .....sijui niandikeje.
Juzi nilikuwa na rafiki yangu hapa Arusha,hakuwa na hiyo kizima moto. Alipo kamatwa akatakiwa aoneshe stika,hakuwa nayo.
Akawauliza ataipata vipi nao wakamueleza aende ofisini kwao.
Tulienda na jamaa hadi ofisini na kuomba stiker,huwezi amini, stiker tulipata lakini kizima moto hatukupata na kwakuwa tulikuwa tumeshalipia,alituambia tuendee j3 ijayo