Finland kujiunga NATO

Kelele hizo za kuogopa kupigwa mande, Finland na Sweden wanajiunga NATO, na hakuna kitu atafanya, apige sasa nchi za umoja wa NATO tayari aone atavyopigwa mande Urusi , na ndio mwisho wa Putin.
Amewaotea Ukraine mshezi huyu.
 
wanangojea nn wajiunge
ila kabla hawajajiunga waende wakaitembelee kwanza MAURIPOL KHARKIV ODESA bila.kusahau KIEV
halaf wakirudi wakajiunge na NATO
 
Kelele hizo za kuogopa kupigwa mande, Finland na Sweden wanajiunga NATO, na hakuna kitu atafanya, apige sasa nchi za umoja wa NATO tayari aone atavyopigwa mande Urusi , na ndio mwisho wa Putin.
Amewaotea Ukraine mshezi huyu.
amewaoteaje MKUU wakati UKRAINE inaongoza huko field
nasikia inawaua sana makamanda wa RUSSIA
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Sasa ajabu ni nini, nchi 30 zinapigana na nchi moja?
Soma comment ya mwenzio huko kwanza ndiyo uelewe mantiki ya comment yangu,yeye anasema NATO wamewatelekeza Ukrain,wewe unakuja na yako hiyo.Pro Russia kaeni kwanza muelewane kabla ya kuvuragana kwa comment zenu hapa.
 
Mkuu ni Finland na Sweden.,
Tumuone sasa Putin kama ana majeshi ya kupigana na nchi tatu, Putini kamasi lazima zinamtoka, huku mabint wake wamezuiliwa akaunti zao taaban putin
Unadhani huko atapigana kama Ukraine?
Ukraine alikuwa analinda raia wanaozungumza kirusi. Na kule ni OP. Hao wengine atawatangazia vita na so OP

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Rudia hapo kwa Hungary... usisahau Turkey ni nato member, ila yalimpomkuta kwa kutaka kupinduliwa unajua aliyemuokoa? Ndio maana Turkey wapo Nato kimachale machale. Pale kwenye muungano wengine ni wasindikizaji tu...
Lakini wanaona bora wawe hivyo kuliko kuwa na ushirika na Russia kwani ni hasara tu kwao.
 
Nyerere aliwahi kuiga mfumo kama wa Soviet mnaona nchi ilivyokuja kuparara hadi mwaka 1984 Dr. Salim akiwa waziri mkuu kwenye moja ya ziara zake kule Lindi alikuta watu wazima kabisa wakitembea uchi ndio chanzo cha mitumba kuruhusiwa kuingia Tanzania kwani kabla ya hapo Nyerere aliwahi kusema akiwa huko Ulaya kwamba, "It's undignified for a sovereign country laying claim to African leadership to depend on discarded clothes". Ila hadi leo ndizo nguo tunazovaa...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…