Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,446
- 3,318
Putini kutumia kombola la nuclear ni sawa na kujitoa akili ,kusema liwalo na liwe,au ni sawa na m2 anayefikiria kunywa sumuIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Utakua mwisho wa Putin na Russia ya sasaIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
TzPutin atabaki na wanyonge wake Georgia, Hungary, Bulgaria sijui
Tena alidondoshe pale HelsinkiIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Putin hawezi kutumia njia hiyo. Hana roho mbaya hivyo. Angekuwa yule mzee mkuu wa mashoga duniani. Angetumia bomu hilo kama walivyotumia kule JapanIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Duuu!!hi dunia nazan Kuna Vita vikubwa vipo njiani vinatarajia kuja huko mbeleni
Tena alidondoshe pale Helsinki
Ni kweli kwa sababu wanasema ktk ulimwengu wa roho picha huwa inazungumza.nina mashaka sana na ile alama ya herufi Z kwenye vifaru vya mrusi
inawezekana hii ndio ikawa vita ya mwisho kabisa ya Urusi kuipigana
Si huwa mnashangiliaga humu mkidai madikteta huwa hawatabiriki, sasa leo hii imekuwaje tena upingane na kauli yenu hiyoPutini kutumia kombola la nuclear ni sawa na kujitoa akili ,kusema liwalo na liwe,au ni sawa na m2 anayefikiria kunywa sumu
Urusi kama sababu ya kuivamia ukraine ni kujiunga na nato basi kama yeye ni mwanaume aivamie na Finland
Ha ha ha una maana gani?nina mashaka sana na ile alama ya herufi Z kwenye vifaru vya mrusi
inawezekana hii ndio ikawa vita ya mwisho kabisa ya Urusi kuipigana