FINLAND kufuta masomo yote mashuleni

FINLAND kufuta masomo yote mashuleni

Wafute tu kwani walioanzisha hayo masomo mbalimbali hata wenyewe hawakufundishwa
 
Yaani hapo kwa mfano wewe unataka kuwa dokta basi utasoma biology, chemi na physics, sio unataka kuwa dokta in the future afu unafundishwa book keeping, commerce, history na hayo ya udokta
Ok nimekusoma
 
Yaani hapo kwa mfano wewe unataka kuwa dokta basi utasoma biology, chemi na physics, sio unataka kuwa dokta in the future afu unafundishwa book keeping, commerce, history na hayo ya udokta
Ukiwa mtoto utajuaje unata kuwa doctor
 
Yaani hapo kwa mfano wewe unataka kuwa dokta basi utasoma biology, chemi na physics, sio unataka kuwa dokta in the future afu unafundishwa book keeping, commerce, history na hayo ya udokta

kweli mkuu,shule inatakiwa imjenge mtu kukabili mazingira yake,tusome vitu practical tangu wadogo ili tuwe wafanisi,lol
 
Najuta muda wangu nilioupoteza kusoma vishazi vikurupushi

Najuta muda wangu nilioupoteza kusoma glaciation

Bora wafanye hivyo,wanafunzi watakua wabobezi sana kwenye maeneo waliochagua
 
Ukiwa mtoto utajuaje unata kuwa doctor
Mkuu hu spend time na watoto wako? Usinambie kama hujawahi kumsikia mtoto anasema anataka kuwa fulani..... mi nlivokuwa mdogo nlisema nataka kuwa pilot lakini maisha yenyewe haya 😀 anyways wenzetu mtoto anapoanza shule huwa wanamsoma ana intrest ya nini? then wanampeleka katika classes husika
 
kweli mkuu,shule inatakiwa imjenge mtu kukabili mazingira yake,tusome vitu practical tangu wadogo ili tuwe wafanisi,lol
Ndio maana kila siku nasema wenzetu mtoto ana miaka 10-13 anakutengezea software tena useful, njoo tanzania mtoto wa miaka 10-13 umuone anafanya nini afu bado tunafikiria kuzeeshana madarasani
 
Kila mtu kuna kitu hua anatamani tangu akiwa mdogo
Hizo ni story hata Japan wenyewe hawachagui wakiwa wadogo. Mtoto akiwa mdogo anaweza tamani vitu vilivyopo kwenye mazingira yake anapokuwa anajua vitu vipya vingi zaidi na anabadilika
 
Mkuu hu spend time na watoto wako? Usinambie kama hujawahi kumsikia mtoto anasema anataka kuwa fulani..... mi nlivokuwa mdogo nlisema nataka kuwa pilot lakini maisha yenyewe haya 😀 anyways wenzetu mtoto anapoanza shule huwa wanamsoma ana intrest ya nini? then wanampeleka katika classes husika
Mtoto anatamani vitu anavyoviona Daktari, Pilot nk lakini mtoto hawezi kujua kwamba kuna Geologyist ni mpaka apate elimu ya awali
 
Yaani hapo kwa mfano wewe unataka kuwa dokta basi utasoma biology, chemi na physics, sio unataka kuwa dokta in the future afu unafundishwa book keeping, commerce, history na hayo ya udokta
Hata mfumo wetu unatakiwa kuwa reshuffled. Mfano rahisi ni huo ulioutoa; sioni relevancy ya physics kwenye prgramme ya medicine au pharmacy kwa mfano. Kuokoa muda na kuongeza weledi wangebaki sana sana biology na chemistry; kama ni lazima yawe matatu, kwangu mathematics ni relevant than physics. So, ingekuwa CB (best) or CBM.
 
Mtoto anatamani vitu anavyoviona Daktari, Pilot nk lakini mtoto hawezi kujua kwamba kuna Geologyist ni mpaka apate elimu ya awali
then its a work of the teacher to learn the intrests of the child, but no we dont have that system, lets teach our kids 9 subjects from Std 1- form 4 and lets give them only 3 when they go advance level... hii ndo elimu ya TZ iliozalisha professors na madokta uchwara, in some cases huwa naamini kama elimu sio ishu, ishu hela tu
 
Hata mfumo wetu unatakiwa kuwa reshuffled. Mfano rahisi ni huo ulioutoa; sioni relevancy ya physics kwenye prgramme ya medicine au pharmacy kwa mfano. Kuokoa muda na kuongeza weledi wangebaki sana sana biology na chemistry; kama ni lazima yawe matatu, kwangu mathematics ni relevant than physics. So, ingekuwa CB (best) or CBM.
Hata hivo ni sawa tu as long as unasoma what is related to your plan
 
then its a work of the teacher to learn the intrests of the child, but no we dont have that system, lets teach our kids 9 subjects from Std 1- form 4 and lets give them only 3 when they go advance level... hii ndo elimu ya TZ iliozalisha professors na madokta uchwara, in some cases huwa naamini kama elimu sio ishu, ishu hela tu
Japan wenye elimu bora wanafanyaje? Nadhani mfumo wetu wa 7 6 ni mzuri sema masomo wanapewa mengi sana ambayo hayana maana.

Mfano mtoto wa Darasa la Tatu ana Madaftari 13 mpaka unashangaa
 
Back
Top Bottom