tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
kibubufinca ndiyo nini?
FINCA ndiyo nini?
wadau hizi tetesi niliwahi kuzisikia kwamba hawa watu huwa hawaajiri watu wa UDSM hasa wenye upper 2nd,...mwanzo nilikuwa sikuamini na nikaapply nafasi za loan officer ambazo deadline yake ilikuwa february mwishoni..cha ajabu sijaitwa mpaka leo, nimeuliza watu wengine kaama wanne ambao nao waliapply nafasi hizo hizo, nao hawajaitwa...nilipowadadisi zaidi nikagundua kwamba wana upper second!!! Na sasa wameshatangaza kazi mpya http://www.zoomtanzania.com/listingdetail?ListingID=18006
sikuishia hapo, nimemdadisi jamaa yangu ambaye ameajiriwa hapo na amepelekwa kahama juu ya ukweli wa jambo hili...kanijibu kwammba inawezekana maana watu wanakimbia kila siku.
ninachojiuliza
Je maslahi ya hawa jamaa yakoje? Kama siyo maslahi kinachowakimbiza watu ni nini?
Financial Instution zinazotoa mikopo,ni kama
1.Easy Investment
2.Blue Finance
3.Bayport
Fikra zako tu!! Kwani UDSM ndo kitu gani? Hadi wawaogope! Wewe umechinjiwa kaburini. Piga Kimyaaaaa!
Wa hovyo hao kabisa kwanza ma branch manager wao ni Vilaza Wa kutosha Ndo maana gf wangu was working there what a stupid organization!
Loan officer mnajua jamani? Ni ofisa mikopo ambae unazunguka mtaani kwenda kutafuta wateja wa mikopo na unawajazia form za mikopo then unapeleka PLC wanawadumbukizia na wewe unakula kamission yako ya 1% na isiyozidi mil20,usifikiri Loan officer ni kukaa ofisini na kupigwa kipupwe huku ukizunguka na kiti na kubonyeza laptop la hasha,na ndio maana hawawataki wanaogopa kukudisappoint.
mkuu unaweza ukanipa sababu zinazofanya waajiri watu wapya kila mara? maana huwa haipiti hata miezi miwili wanatangaza nafasi mpya...Mbona watu wanapiga mzigo na pesa kama kawa kaka, now kuna waliopo kwenye training kwa hapa Dar wanafanya Ilala boma na watu wa UDSM wapo kadha kati ya wanaofanyiwa training na wanamatokeo mazuri tu, we vumilia na hilo bench kazi kama huna anaekujua basi BAHATI inahusika sana maana nw days kila mtu ni competent.
FINCA inasimama badala ya nini?
wadau hizi tetesi niliwahi kuzisikia kwamba hawa watu huwa hawaajiri watu wa UDSM hasa wenye upper 2nd,...mwanzo nilikuwa sikuamini na nikaapply nafasi za loan officer ambazo deadline yake ilikuwa february mwishoni..cha ajabu sijaitwa mpaka leo, nimeuliza watu wengine kaama wanne ambao nao waliapply nafasi hizo hizo, nao hawajaitwa...nilipowadadisi zaidi nikagundua kwamba wana upper second!!! Na sasa wameshatangaza kazi mpya Loan Officers Job in Arusha, Dar Es Salaam, Iringa, Mbeya, Mwanza, Tanga, Tanzania
sikuishia hapo, nimemdadisi jamaa yangu ambaye ameajiriwa hapo na amepelekwa kahama juu ya ukweli wa jambo hili...kanijibu kwammba inawezekana maana watu wanakimbia kila siku.
ninachojiuliza
Je maslahi ya hawa jamaa yakoje? Kama siyo maslahi kinachowakimbiza watu ni nini?
Inawezekana maana ata sisi hatuajiri wanafunzi wa UDSM,coz ni wazito balaa,,,watu wanapewa maswali multiple na match items,,,so upper second ya UDSM ni gentlement ya SUA/UCLAS/MZUMBE,,,pia moshi nimeskia kuna chuo kinakuja juu zamani kilikua kinaitwa ushirika mitihani YA WAHASIBU Vijana wamefanya vizuri. UDSM ndo chuo kikuu cha ukahaba na ubraza men(usharo) leo unataka niajiri shoga au kahaba si atawamaliza staffs kwa n goma?????? panuka mawazo
Loan officer mnajua jamani? Ni ofisa mikopo ambae unazunguka mtaani kwenda kutafuta wateja wa mikopo na unawajazia form za mikopo then unapeleka PLC wanawadumbukizia na wewe unakula kamission yako ya 1% na isiyozidi mil20,usifikiri Loan officer ni kukaa ofisini na kupigwa kipupwe huku ukizunguka na kiti na kubonyeza laptop la hasha,na ndio maana hawawataki wanaogopa kukudisappoint.
Wa hovyo hao kabisa kwanza ma branch manager wao ni Vilaza Wa kutosha Ndo maana gf wangu was working there what a stupid organization!
Inawezekana maana ata sisi hatuajiri wanafunzi wa UDSM,coz ni wazito balaa,,,watu wanapewa maswali multiple na match items,,,so upper second ya UDSM ni gentlement ya SUA/UCLAS/MZUMBE,,,pia moshi nimeskia kuna chuo kinakuja juu zamani kilikua kinaitwa ushirika mitihani YA WAHASIBU Vijana wamefanya vizuri. UDSM ndo chuo kikuu cha ukahaba na ubraza men(usharo) leo unataka niajiri shoga au kahaba si atawamaliza staffs kwa ngoma?????? panuka mawazo