Finally nimepata relief...

Finally nimepata relief...

Mtu wa afya, ila si umeona kijasho kimemtoka hapo?
iyo inaitwa , kupigana mpini na mwanamke mnayekutana usiku tu.


Ila kwa habari za ndani zaidi

Mtoa mada atatusaidia

Mpaka muda huu wa saa 1:25 Mie nawee tubaki na letu moja tu kwamba " Jamaa hana mpango na mimba za bahati mbaya".
 
Kwani Rough rider bei gani ?
Ifike mahali tuwe tunaelekezana , Vifungu vya kwenye Bibilia na Quran!!.


Yaan shetan bana, unaweza mkwepa kwenye Ulevi, Uongo, wizi n.k...

Alafu akaamua kukupa Nyege za ajabu kiasi kwamba Kila Lodge ukaijua wee. Kila kondom, na bei elekezi ukajuaa kama ambavyo Serikali imetoa bei elekezi ya cement.
 
Good evening sis' and bro's

Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii...

Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya UCL kati ya chama langu United na RB Leipzig kwa amani.

Tutumie zenye viwango mfano rough rider n.k




View attachment 1644688
Unahofu na mimba vipi ukimwi???
 
Good evening sis' and bro's

Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii...

Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya UCL kati ya chama langu United na RB Leipzig kwa amani.

Tutumie zenye viwango mfano rough rider n.k




View attachment 1644688
Mashabiki wa Man utd bana waoga kweli
 
Good evening sis' and bro's

Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii...

Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya UCL kati ya chama langu United na RB Leipzig kwa amani.

Tutumie zenye viwango mfano rough rider n.k




View attachment 1644688
Good evening sis' and bro's

Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii...

Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya UCL kati ya chama langu United na RB Leipzig kwa amani.

Tutumie zenye viwango mfano rough rider n.k




View attachment 1644688
Vipi na grid ya taifa?
 
Back
Top Bottom