Finally nimepata relief...

Finally nimepata relief...

Darmian

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2017
Posts
17,300
Reaction score
46,749
Good evening sis' and bro's

Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii...

Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya UCL kati ya chama langu United na RB Leipzig kwa amani.

Tutumie zenye viwango mfano rough rider n.k




Screenshot_20201208-162438~2.jpg
 
umetuaibisha sana inatakiwa asione siku zake hadi miezi tisa apunguze mauzo ya pendi huyo
 
Lililo gumu ndilo sahihi kwako. Usilale na mtu ambaye haupo tayari kuzaa naye, atakuja kubeba mimba afu atakayekuja kuteseka ni mtoto. Ukiona huyu mtu sina future naye, achana naye fasta.
Ushauri mzuri..
 
Haikua kazi rahisi
 

Attachments

  • 1235720F-A518-4819-A574-19F1DCD65F6C.jpeg
    1235720F-A518-4819-A574-19F1DCD65F6C.jpeg
    74.9 KB · Views: 14
Salai wangai wai waaa!! Nikadhani umeponea kupata ngoma kumbe ni mimba? Ninyi kumbe ndo mnalazimisha dada zetu watoe mimba au kutupa vichanga kwasababu ya uoga wa kiboya wa kuogopa majukumu, wewe ni wakuchapwa viboko heavy visivyopungua 20 tena vyenye pilipili.
 
Good evening sis' and bro's

Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii...

Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya UCL kati ya chama langu United na RB Leipzig kwa amani.

Tutumie zenye viwango mfano rough rider n.k




View attachment 1644688
Chief bado unatumia Dume??


Pigia RR, Hii kitu nikm nyamanyama tu lkn haipasuki .
 
Back
Top Bottom