Finally, I'm that auntie from dad's side!

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,299
Reaction score
60,930
Wakuu habari za nyie...

KWa hakika siku hazigandi, na hawakukosea walivyosema "What goes around comes around"!

Vile tunavyowaonaga ndugu upande wa Baba miyeyusho hasa mashangazi, tunavyowaonaga hawana maana, na sifa zote mbaya na matatizo tunayatupiaga kwa ndugu upande wa baba.


Hatimaye little brother katuletea kanew born na sisi (nikiwemo na mimi) tushakuwa mashangazi upande wa baba! Nasubiri tu nizeeke nianze kuitwa mchawi wakiumwa waseme shangazi ndio anawaroga!

Sema fresh Nakubali
 
Yesoooou!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

"Shangazi yako ndio kakufunga nyota usiolewe " 😁😁😁

ila mashangazi na mabibi huwa mnatukanwa na kutuhumiwa sana na wakwe zenu na hii ni kwa sababu ya kuingilia nyumba ya ndugu na mtoto wenu. Ukipunguza au ukijiepusha na hili, mchezo umeisha 😁😁😁
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…