abbas-hassan
Member
- Nov 21, 2013
- 11
- 15
Ndugu wanajf.
Nashukuru kwa michango yenu ya ushauri juu ya swala langu kwenye uzi wa "Nakimbia ndoa-Naogopa kuua". Nawashukuru sana na heshimu sana mawazo yenu.
Kwakua huyu mwanamke amekua sio mstaarabu na katili kiasi hicho nimeamua kufanya yafuatayo lakini kwa uchungu sana kwani ni uamuzi mgumu sana hata zaidi ya waliochukua CDM kwa zito.
Awali ya yote..kama nilivyowafahamisha...licha ya kumsomesha na kumgikisha hapo alipo sasa. Lakin kuna kubwa ambalo sikuliweka wazi ambalo mnaweza kuniona mjinga sana na kunishangaa kwamba mimi ni mwanamme wa namna gani.
Nakumbuka ilikua miaka 5 nyuma..huyu mwanamke nilienda kuchek nae afya(ukimwi). Na majibu yakawa yeye kaathirika. .mimi sijaathirika. Ilikua siku ya huzuni sana na majonzi. Nikamwambia anieleze alikopatia huo ukimwi....na kwann alinificha kwa kipindi chote hicho ili hali anamimba na kajifungua mtoto?..kwann hakua wazi kwangu na kwa mimba yake ili hata mtoto aepushwe na maradhi?
Akaniambia..alikua anaogopa angeniambia ningemuacha na kwamba alikua akinipenda sana. Kuhusu mtoto akasema alifoji vheti vha clinic ili asigunduliwe kua kaathirika. Hajui alikopata ngoma lakini anasema alienda kupima miaka saba kabla haya mimi kukutana nae na akaambiwa kaathirika.
Nilichofanya mimi siku hiyo, nilimwambia ivi:-
"Nimekusamehe...na sitakuacha kwa tatizo ulilonalo;.kwakua tumekua tukisumbuana kwa muda mrefu kupigishana kelele kwa mambo jamii ya umalaya..uzinzi..uongo..unafki. ...Nakuomba usinisumbue tena kuanzia leo. Nahaidi nitakua mfariji wako. Na nitaendelea kufanya mapenzi kama awali na itakua mara dufu. "
Kweli maisha yakaenda...nikawa namhimiza sana mambo ya Mungu. Nikampeleka na chuo kusoma. Huko sasa mambo yakaanza kwenda ovyo taratibutaratibu.....akaanza majibu ya dharau..mara nisikie mastory ya kugongwa na wanamme mara ana marafiki malaya. Nilikua naumia sana...natoka miles nyingi kwenda kunuona pale chuoni. Ilikua ni shida mpaka akamaliza.
Anyways..ni mambo mengi yaliendelea....na nilikua nikizini nae tu na tukaendelea kupata watoto. Cha ajabu kila nikienda kupima...majibu yangu ni negative mpaka leo hii. Sijui ni muujiza wa namna gani huu.
Huu ndio uamuzi wa mwisho ambao nimeamua kuufanya mimi Hasan Abas Abdalah baada ya kuongea na wazazi pande mbili, viongoz wa dini na watu wazima na humu jf.
1: Hassan achana na huyo mwanamke kabisa...ni kafri na muuaji mkubwa...sio mstaarabu hata kidogo.
2. Mwachie kila kitu...kaanze maisha upya. Nenda mbali nae kabisa. Nenda hata Mtwara au Morogoro kaanzishe maisha.
3. Wanawake wapo wengi sana...yupo Mungu aliyekuandalia..ambae atakutii kwa utayokua unamweleza na moyo wako utauona tu koz utakua umetulia wala hutakua na wasiwasi.
4. Ukitaka kuondoka haina haja ya kumuaga na kumtolea maneno makali au ya laana. Mwambie nashukuru...mi naondoka, nitunzie watoto wangu kwa kipindi hiki cha mpito. Na asijue unakokwenda.
5. Kua karibu na Mungu sana...achana na mambo ya wanawake kwasasa Hasan...tafuta hela...Mungu awe rafiki yako mkubwa.
6. Muondoe kabisa katika akili yako...hilo ni joka kubwa ambalo ulikua ukiishi nalo bila kujua.
Nimeongea na kiongoz wa dini mmoja asbh hii.....aisee nimeona akili imefunguka kabisa. Sasa nafua nguo kujiandaa na safari leo hii au kesho au jumatatu.
Mungu nitangulie na nilinde kokote niendako....nakuachia watoto wangu...walinde na waepushe na uchafu wowote. Nakuomba Mungu unajilie huko niendako nipate kibali cha mafanikio ili nije niishi na watoto wangu..wasome katika level yeyote ya elimu na kuwafanikishia kua na maisha bora na familia njema kabisa.
Namsamehe mwanamke huyu kwa yote na mi pia naomba Mungu unisamehe kwa mabaya yote ambayo nimekua nikimtendea. Mlinde pia...muepushe na roho chafu alizonazo....mhurumie. Mpe utashi wa kuelewa anachofanya.
Kwa wanawake wote wanaosoma uzi huu na wanatabia za kunyanyasa wamme zao au kua na majibu machafu ya kuwachanganya wanamme zao...nawasihi waache tabia hizo....sio vizuri kabisa mbele za Mungu.
Asante JF members kwa maoni yenu na ushauri. Mungu awabariki sana.
Nahitaji maombi yenu pia.
Nashukuru kwa michango yenu ya ushauri juu ya swala langu kwenye uzi wa "Nakimbia ndoa-Naogopa kuua". Nawashukuru sana na heshimu sana mawazo yenu.
Kwakua huyu mwanamke amekua sio mstaarabu na katili kiasi hicho nimeamua kufanya yafuatayo lakini kwa uchungu sana kwani ni uamuzi mgumu sana hata zaidi ya waliochukua CDM kwa zito.
Awali ya yote..kama nilivyowafahamisha...licha ya kumsomesha na kumgikisha hapo alipo sasa. Lakin kuna kubwa ambalo sikuliweka wazi ambalo mnaweza kuniona mjinga sana na kunishangaa kwamba mimi ni mwanamme wa namna gani.
Nakumbuka ilikua miaka 5 nyuma..huyu mwanamke nilienda kuchek nae afya(ukimwi). Na majibu yakawa yeye kaathirika. .mimi sijaathirika. Ilikua siku ya huzuni sana na majonzi. Nikamwambia anieleze alikopatia huo ukimwi....na kwann alinificha kwa kipindi chote hicho ili hali anamimba na kajifungua mtoto?..kwann hakua wazi kwangu na kwa mimba yake ili hata mtoto aepushwe na maradhi?
Akaniambia..alikua anaogopa angeniambia ningemuacha na kwamba alikua akinipenda sana. Kuhusu mtoto akasema alifoji vheti vha clinic ili asigunduliwe kua kaathirika. Hajui alikopata ngoma lakini anasema alienda kupima miaka saba kabla haya mimi kukutana nae na akaambiwa kaathirika.
Nilichofanya mimi siku hiyo, nilimwambia ivi:-
"Nimekusamehe...na sitakuacha kwa tatizo ulilonalo;.kwakua tumekua tukisumbuana kwa muda mrefu kupigishana kelele kwa mambo jamii ya umalaya..uzinzi..uongo..unafki. ...Nakuomba usinisumbue tena kuanzia leo. Nahaidi nitakua mfariji wako. Na nitaendelea kufanya mapenzi kama awali na itakua mara dufu. "
Kweli maisha yakaenda...nikawa namhimiza sana mambo ya Mungu. Nikampeleka na chuo kusoma. Huko sasa mambo yakaanza kwenda ovyo taratibutaratibu.....akaanza majibu ya dharau..mara nisikie mastory ya kugongwa na wanamme mara ana marafiki malaya. Nilikua naumia sana...natoka miles nyingi kwenda kunuona pale chuoni. Ilikua ni shida mpaka akamaliza.
Anyways..ni mambo mengi yaliendelea....na nilikua nikizini nae tu na tukaendelea kupata watoto. Cha ajabu kila nikienda kupima...majibu yangu ni negative mpaka leo hii. Sijui ni muujiza wa namna gani huu.
Huu ndio uamuzi wa mwisho ambao nimeamua kuufanya mimi Hasan Abas Abdalah baada ya kuongea na wazazi pande mbili, viongoz wa dini na watu wazima na humu jf.
1: Hassan achana na huyo mwanamke kabisa...ni kafri na muuaji mkubwa...sio mstaarabu hata kidogo.
2. Mwachie kila kitu...kaanze maisha upya. Nenda mbali nae kabisa. Nenda hata Mtwara au Morogoro kaanzishe maisha.
3. Wanawake wapo wengi sana...yupo Mungu aliyekuandalia..ambae atakutii kwa utayokua unamweleza na moyo wako utauona tu koz utakua umetulia wala hutakua na wasiwasi.
4. Ukitaka kuondoka haina haja ya kumuaga na kumtolea maneno makali au ya laana. Mwambie nashukuru...mi naondoka, nitunzie watoto wangu kwa kipindi hiki cha mpito. Na asijue unakokwenda.
5. Kua karibu na Mungu sana...achana na mambo ya wanawake kwasasa Hasan...tafuta hela...Mungu awe rafiki yako mkubwa.
6. Muondoe kabisa katika akili yako...hilo ni joka kubwa ambalo ulikua ukiishi nalo bila kujua.
Nimeongea na kiongoz wa dini mmoja asbh hii.....aisee nimeona akili imefunguka kabisa. Sasa nafua nguo kujiandaa na safari leo hii au kesho au jumatatu.
Mungu nitangulie na nilinde kokote niendako....nakuachia watoto wangu...walinde na waepushe na uchafu wowote. Nakuomba Mungu unajilie huko niendako nipate kibali cha mafanikio ili nije niishi na watoto wangu..wasome katika level yeyote ya elimu na kuwafanikishia kua na maisha bora na familia njema kabisa.
Namsamehe mwanamke huyu kwa yote na mi pia naomba Mungu unisamehe kwa mabaya yote ambayo nimekua nikimtendea. Mlinde pia...muepushe na roho chafu alizonazo....mhurumie. Mpe utashi wa kuelewa anachofanya.
Kwa wanawake wote wanaosoma uzi huu na wanatabia za kunyanyasa wamme zao au kua na majibu machafu ya kuwachanganya wanamme zao...nawasihi waache tabia hizo....sio vizuri kabisa mbele za Mungu.
Asante JF members kwa maoni yenu na ushauri. Mungu awabariki sana.
Nahitaji maombi yenu pia.