Filikunjombe na ITV kunani?

Filikunjombe na ITV kunani?

MJENGA

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
883
Reaction score
852
Ndugu zangu ninaomba mnieleweshe kuna nini kinaendelea kati ya ITV na Filikunjombe kwani kwa muda wa siku tatu mfululizo ITV inafanya coverage ya huyu jamaa kwa nguvu kubwa ambayo kwa wachunguzi wa maswala ya siasa wanabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Je, inawezekana ni kale ka scandal kwamba Mr. Machache aliwanunua Fili na Nyepesi ili wammalize Prof. Msosi Pitwa Mwongo?. Ni kama dots zinaunganishika hivi!. Sasa km ni hivyo, Imanweli Msigo wa chaneli hiyo nae amepachesiwa/botiwa?.
 
Hata mm nimeliona hilo, labda ripota wa maeneo yale anapiga kazi sana
 
Ha ha haaa, siasa za bongo bwn!
 
Kama hujui njaa ndo inayomfanya Msigwa aripot mambo ya Deo mana anapewa fungu la kutosha. Yan njaa mby sna huyo Msigwa ni njaa sna jamaa kamuhaid kummalzia nyumba yake iko Mkuzo songea mjn kwhyo lazma apge kaz.
 
Kwa hiyo hutaki atangqzwe jembe la CCM? Bavicha bhana...
 
Kama hujui njaa ndo inayomfanya Msigwa aripot mambo ya Deo mana anapewa fungu la kutosha. Yan njaa mby sna huyo Msigwa ni njaa sna jamaa kamuhaid kummalzia nyumba yake iko Mkuzo songea mjn kwhyo lazma apge kaz.

Hivi kumbe ni kosa kureport habari ya mtu aiseeeeee
 
Ndugu zangu ninaomba mnieleweshe kuna nini kinaendelea kati ya ITV na Filikunjombe kwani kwa muda wa siku tatu mfululizo ITV inafanya coverage ya huyu jamaa kwa nguvu kubwa ambayo kwa wachunguzi wa maswala ya siasa wanabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Je, inawezekana ni kale ka scandal kwamba Mr. Machache aliwanunua Fili na Nyepesi ili wammalize Prof. Msosi Pitwa Mwongo?. Ni kama dots zinaunganishika hivi!. Sasa km ni hivyo, Imanweli Msigo wa chaneli hiyo nae amepachesiwa/botiwa?.

Kinachofanyika ni "Retirement of Interests!".

Hatari sana.
 
Anastahili coz anafanya kinachotakiwa kufanywa tatizo nini wivu au
 
Nyepesi+Filiku+piesii+Machache+Escrow=Le profeseri out!
 
Kwi kwi kwiiiii, dots connected!
 
Nyepesi+Filiku+piesii+Machache+Escrow=Le profeseri out!

Sijawahi ona hesabu kama hii; jee inazingatia misingi gani ya hesabu. Je ina maana kuwa:
Escrow= Le Profesri out -(Nyepesi+Filiku+piesii+Machache)?
Nyepesi =
Le Profesri out -(Filiku+piesii+Machache+Escrow)?
Majanga!!!!
 
Ndugu zangu ninaomba mnieleweshe kuna nini kinaendelea kati ya ITV na Filikunjombe kwani kwa muda wa siku tatu mfululizo ITV inafanya coverage ya huyu jamaa kwa nguvu kubwa ambayo kwa wachunguzi wa maswala ya siasa wanabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Je, inawezekana ni kale ka scandal kwamba Mr. Machache aliwanunua Fili na Nyepesi ili wammalize Prof. Msosi Pitwa Mwongo?. Ni kama dots zinaunganishika hivi!. Sasa km ni hivyo, Imanweli Msigo wa chaneli hiyo nae amepachesiwa/botiwa?.

Huyo jamaa alishawahi kuwa mwandishi na riporter wa itv/radio one ndo maana wapo so beneat na yeye. yeye aliacha uandishi then akaingia kwenye siasa. Kwa hyo kama ITV hawana jinsi ya kulipa fadhila
 
Ndugu zangu ninaomba mnieleweshe kuna nini kinaendelea kati ya ITV na Filikunjombe kwani kwa muda wa siku tatu mfululizo ITV inafanya coverage ya huyu jamaa kwa nguvu kubwa ambayo kwa wachunguzi wa maswala ya siasa wanabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Je, inawezekana ni kale ka scandal kwamba Mr. Machache aliwanunua Fili na Nyepesi ili wammalize Prof. Msosi Pitwa Mwongo?. Ni kama dots zinaunganishika hivi!. Sasa km ni hivyo, Imanweli Msigo wa chaneli hiyo nae amepachesiwa/botiwa?.

Acha kuishi kwa hisia ww. Deo kafanya kazi ITV kama reporter wao kwa nini wasimuenzi? Yaan upande wa wezi mnajishtukia kweli......
 
Back
Top Bottom