Akiwa kampala alikuwa reporter wa itv,baadae akaajiriwa na jeshi la polisi na baadae world vision na baadae kufungua ofisi yake.Hivo si vibaya wakimripoti vema.Lakin pia hivi kama mtu figure kafariki,kuna shida akiandikwa sana au kuripotiwa sana?tuwe wazalendo jamani