Filikunjombe na ITV kunani?

Filikunjombe na ITV kunani?

Akiwa kampala alikuwa reporter wa itv,baadae akaajiriwa na jeshi la polisi na baadae world vision na baadae kufungua ofisi yake.Hivo si vibaya wakimripoti vema.Lakin pia hivi kama mtu figure kafariki,kuna shida akiandikwa sana au kuripotiwa sana?tuwe wazalendo jamani
 
Ndugu zangu ninaomba mnieleweshe kuna nini kinaendelea kati ya ITV na Filikunjombe kwani kwa muda wa siku tatu mfululizo ITV inafanya coverage ya huyu jamaa kwa nguvu kubwa ambayo kwa wachunguzi wa maswala ya siasa wanabaki na maswali mengi kuliko majibu.

Je, inawezekana ni kale ka scandal kwamba Mr. Machache aliwanunua Fili na Nyepesi ili wammalize Prof. Msosi Pitwa Mwongo?. Ni kama dots zinaunganishika hivi!. Sasa km ni hivyo, Imanweli Msigo wa chaneli hiyo nae amepachesiwa/botiwa?.

....upo kati ya kundi mojawapo hapa (Mal.fa na Wap.mbaf)
 
Hata mimi naona hilo, manake Machache na ayitivi watakuwa na makombola ya kudungua chopa na kuinguza beyond recognition kuliko uhururu na chama mama pipi ndundu ziiii na gavame ment ya kukaya.
 
Akiwa kampala alikuwa reporter wa itv,baadae akaajiriwa na jeshi la polisi na baadae world vision na baadae kufungua ofisi yake.Hivo si vibaya wakimripoti vema.Lakin pia hivi kama mtu figure kafariki,kuna shida akiandikwa sana au kuripotiwa sana?tuwe wazalendo jamani

Mbona uzi ni wa kitambo sana!
 
Back
Top Bottom