Kuna habari kuwa Marehemu Mzee Daudi Mwakawago (R.I.P) alikuwa na report nzito ya tuhuma ambazo angezitoa kwa mwenyekiti wa CCM Mzee Mkapa JK asingekuwa raisi wa TZ, amenukuliwa mzee wa umvi EL. Kwa yeyote mwenye insight ya yaliyokuwa kwenye hilo file atujuze wanajuamvi..