Fikra zako na muda ulionao

Fikra zako na muda ulionao

Paphect

Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
10
Reaction score
15
Hakikisha kila majira ambayo Mungu amekupa kuishi hapa duniani unajifunza kuunganisha FIKRA ZAKO na MUDA ULIONAO.
~
Ukishindwa kuunganisha fikra na majira unayoishi ni rahisi sana kuishi maisha yaliyo nje na kile Mungu alichopanga ukifanye hapa duniani kwenye majira husika.
~
Ni rahisi kufikiri na kufanya mambo yaliyo nje ya majira na muda husika. Hivyo, ni lazima mfumo wako wa kufikiri uendane na kile ulichobebeshwa kwenye majira na nyakati unazoishi.
 
Back
Top Bottom