Ukiangalia possitions za hizo containner, 1 na 2 ziko juu hazitajaa. 3 & 4 ziko chini , connecting pipe inayotoa maji 3 iko chini na inayoingiza 4 iko juu maana yake maji kupita kwenye pipe toka 3 to 4 yatategemea mkandamizo katika 3 ambao ni ujazo. Therefore of all 4 containners itajaa mwanzo nmbr 3