Fikra pevu tu ingia hapa

Umegusia point muhimu ya kiasi kiingiacho na kitokacho....Ki fupi umetaka kuliweka kisomi zaid yaani complicated.... Ila ingebid utumie kanuni ya wanauchumi other things remain constant
 
Kama jibu linatakiwa kutokana na muonekano wa water pressure iliyopo msingi wa hoja yako ya input and outlet pressure ni assuming na sio fact. Bado no3 itajaa sawa na no4...na no1 na 2 hayata jaa kamwe ...maji yatamwagika kutoka No 4
 
Namba tatu itaanza kujaa ili itoe kwa namba nne
 
Ukiangalia possitions za hizo containner, 1 na 2 ziko juu hazitajaa. 3 & 4 ziko chini , connecting pipe inayotoa maji 3 iko chini na inayoingiza 4 iko juu maana yake maji kupita kwenye pipe toka 3 to 4 yatategemea mkandamizo katika 3 ambao ni ujazo. Therefore of all 4 containners itajaa mwanzo nmbr 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…