Aise kwa hali ilivyongumu,wachaniuze figo mojaM
Kama milioni 44 ivi kwa pesa yetu ya madafu
Kwanza unazo mbili ila hakikisha ukishapewa fungu lako usifanye yale mambo yetu yale yakwichikwichi maana figo moja kuchuja makinikia ni ngumu so itahitaji ufunge spidi gavana mkuu!Aise kwa hali ilivyongumu,wachaniuze figo moja
Niache kwichikwichi ,iwiiiiiiiiiii si bora ufe,basi nimeghairKwanza unazo mbili ila hakikisha ukishapewa fungu lako usifanye yale mambo yetu yale yakwichikwichi maana figo moja kuchuja makinikia ni ngumu so itahitaji ufunge spidi gavana mkuu!
kawaida...ajali kaziniNavyoogopa kufanyiwa upasuaji hapana japo nahitaji pesa lakin sio kwa njia hii
Unaweza fanyiwa usirudi na madaktari wetu hawa
Huyo aloweka hapa ndo kapunguza dau .ila wao waliandima ml 30.Dau dogo.. Wafike fike kwenye 30m hivii
dah nipo tayari kutoa kwa laki (100,000) tatizo nakunywa pombe kali sana itakua imedhurika kidogo kama upo tayari ni pm mzee tufanye business..Hii nimeikuta sehemu na kujiuliza maswali mengi.Nanyi wadau wa JF someni na kutoa maoni yenu.
Familia ya A.Rimoy inaomba msaada wa kuchangiwa Figo 1 (kike/kiume) kwa ajili ya Mzee wao kwa yeyote atakaeguswa awasiliane nasi kwa namba:0754-657622; 0682-068821; 0713-233989;Aidha familia itatoa Tshs milion 10.kama ahsante...Ombi sambaza ujumbe huu kwenye magroup mengine...
Maae, kwani ndg zake hawajaguswa wamchangie iyo figoHii nimeikuta sehemu na kujiuliza maswali mengi.Nanyi wadau wa JF someni na kutoa maoni yenu.
Familia ya A.Rimoy inaomba msaada wa kuchangiwa Figo 1 (kike/kiume) kwa ajili ya Mzee wao kwa yeyote atakaeguswa awasiliane nasi kwa namba:0754-657622; 0682-068821; 0713-233989;Aidha familia itatoa Tshs milion 10.kama ahsante...Ombi sambaza ujumbe huu kwenye magroup mengine...
Sasa laki ukitoka hospital kuchomolewa figo si unaweza ufike home ikawa imeshaisha?dah nipo tayari kutoa kwa laki (100,000) tatizo nakunywa pombe kali sana itakua imedhurika kidogo kama upo tayari ni pm mzee tufanye business..