FIFA officials arrested on corruption charges - reports

Hili sakata la FIFA litashuka taratibu hadi kwa Hayatou wa CAF. Naye kawa mfalme kama Blatter. Tusubiri.
 
FIFA SCANDAL.jpg FIFA SCANDAL2.jpg

source-daily mail
 
The English are bad losers and will go to an extent to show their annoyance.

Ndipo wengine tunaposhangaa mnapopigia debe escrow iendelee badala ya tuizime kivyetu wakati sisi tunafanya ushabiki maandazi wao issue hapo ni standard charter kupokonywa hisa na wao wangeuza tu umiliki wa IPTL kwa kampuni la kiingereza (kwakuwa benki zao aziruhisiwi kufanya miradi ya aina hiyo) na kupata access ya TANESCO kirahisi na ndio motive yenyewe; there endless possibilities kwa sasa on electricity ndani ya Tanzania.

Sasa hawa jamaa wetu wa usalama waendelee tu kucheka na mikataba ya kipuuzi inayofanywa huko serikarini siku aje mzalendo adai iwe reviewed au afanye termination ndio tutajuwa nongwa la waingereza na washirika wao wa-kimarekani.

Ujinga ni gharama dunia ya leo.
 
Inawezekana ndiyo mpango wenyewe. Iweje hao wote wahusike yeye asiwepo?

Na wanapelekwa Marekani kujibu mashitaka maana wamekamatwa kwa maombi ya Marekani.

Mkuu Blatter anaweza kuwa na matatizo yake, lakini nia hasa hasa ya Merikani ni kuifanyia hujuma Urusi ili hisiwe mwenyeji wa kombe la DUNIA - wanaendeleza chuki zao kwa PUTIN!! Merikani na Uingereza tabia hii wanayo sana kama sio Blatter kuwa na msimamo Mataifa mengi ya Dunia ya tatu yasingeweza kukubaliwa ku-host World CUP. Chukulia mfano wa Africa kusini - Uingereza na Merikani walisha hanzisha hujuma zao wanadai Africa kusini hafai kutokana na usalama mdogo - walisha jipanga mashindano hayo yahamishiwe Uingereza, wana ubinafsi wa kushangaza - Waingereza wanatamani mchezo huo uhamishiwe Uingereza ndio maana wanachochea chochea mambo haya na hawaja hanza leo.

Hivi nani kampa mamlaka Merikani kujihusisha na mashtaka ambayo haya kuwa comitted kwenye Taifa lao - sana sana Merikani ingehamuru makampuni ya Taifa hilo kusitisha ku-sponsor michezo ya FIFA - lakini hili la kujitia kimbelembele linatia shaka sana, after all soca sio jadi ya Taifa hilo linataka kuchanganya mambo ya siasa na michezo kwa manufaa yao ya kijinga tu. Blatter alikuwa anapinga siku zote wanasiasa kuingilia michezo, Blatter aliwahi kushawishiwa na Merikani eti hasikubali PUTIN ku-host World CUP - Merikani kulivalia njuga suala hili ni mwendelezo wa njama zake za siku nyingi!! Narudia, bila Blatter kuwa na msimamo thabiti Kombe la Dunia lingekuwa linachezwa kwenye Nchi za Ulaya na Merikani basi.
 
Mkuu Blatter anaweza kuwa na matatizo yake, lakini nia hasa hasa ya Merikani ni kuifanyia hujuma Urusi ili hisiwe mwenyeji wa kombe la DUNIA - wanaendeleza chuki zao kwa PUTIN!! Merikani na Uingereza tabia hii wanayo sana kama sio Blatter kuwa na msimamo Mataifa mengi ya Dunia ya tatu yasingeweza kukubaliwa ku-host World CUP. Chukulia mfano wa Africa kusini - Uingereza na Merikani walisha hanzisha hujuma zao wanadai Africa kusini hafai kutokana na usalama mdogo - walisha jipanga mashindano hayo yahamishiwe Uingereza, wana ubinafsi wa kushangaza - Waingereza wanatamani mchezo huo uhamishiwe Uingereza ndio maana wanachochea chochea mambo haya na hawaja hanza leo.

Hivi nani kampa mamlaka Merikani kujihusisha na mashtaka ambayo haya kuwa comitted kwenye Taifa lao - sana sana Merikani ingehamuru makampuni ya Taifa hilo kusitisha ku-sponsor michezo ya FIFA - lakini hili la kujitia kimbelembele linatia shaka sana, after all soca sio jadi ya Taifa hilo linataka kuchanganya mambo ya siasa na michezo kwa manufaa yao ya kijinga tu. Blatter alikuwa anapinga siku zote wanasiasa kuingilia michezo, Blatter aliwahi kushawishiwa na Merikani eti hasikubali PUTIN ku-host World CUP - Merikani kulivalia njuga suala hili ni mwendelezo wa njama zake za siku nyingi!! Narudia, bila Blatter kuwa na msimamo thabiti Kombe la Dunia lingekuwa linachezwa kwenye Nchi za Ulaya na Merikani basi.
Mkuu wangu nakusoma kwa ukaribu mno.
 
Mkuu Blatter anaweza kuwa na matatizo yake, lakini nia hasa hasa ya Merikani ni kuifanyia hujuma Urusi ili hisiwe mwenyeji wa kombe la DUNIA - wanaendeleza chuki zao kwa PUTIN!! Merikani na Uingereza tabia hii wanayo sana kama sio Blatter kuwa na msimamo Mataifa mengi ya Dunia ya tatu yasingeweza kukubaliwa ku-host World CUP. Chukulia mfano wa Africa kusini - Uingereza na Merikani walisha hanzisha hujuma zao wanadai Africa kusini hafai kutokana na usalama mdogo - walisha jipanga mashindano hayo yahamishiwe Uingereza, wana ubinafsi wa kushangaza - Waingereza wanatamani mchezo huo uhamishiwe Uingereza ndio maana wanachochea chochea mambo haya na hawaja hanza leo.

Hivi nani kampa mamlaka Merikani kujihusisha na mashtaka ambayo haya kuwa comitted kwenye Taifa lao - sana sana Merikani ingehamuru makampuni ya Taifa hilo kusitisha ku-sponsor michezo ya FIFA - lakini hili la kujitia kimbelembele linatia shaka sana, after all soca sio jadi ya Taifa hilo linataka kuchanganya mambo ya siasa na michezo kwa manufaa yao ya kijinga tu. Blatter alikuwa anapinga siku zote wanasiasa kuingilia michezo, Blatter aliwahi kushawishiwa na Merikani eti hasikubali PUTIN ku-host World CUP - Merikani kulivalia njuga suala hili ni mwendelezo wa njama zake za siku nyingi!! Narudia, bila Blatter kuwa na msimamo thabiti Kombe la Dunia lingekuwa linachezwa kwenye Nchi za Ulaya na Merikani basi.

Unazo hoja za msingi. Lakini mwanya wanaopata Marekani na Uingereza kutimiza azma yao ni rushwa iliyokithiri pale FIFA. Haiwezekani watu wake wa karibu wahusike yeye asiwemo.

Awe na msimamo sawa, lakini pia awe msafi. Mtu wa chini yake akipiga US Dollars 10m , yeye atakuwa kapiga ngapi?
 
Pale fifa kuna matatizo makubwa ya siku kibao, fifa ni kama genge la wahuni ambao wamejitungia sheria zao kwa kujilinda, mfano wa fifa ni kama TFF ilivyo, lakini kwa hili kuvaliwa njunga na America iko siasa upande wa pili,
Na hii yote anatafutwa putin hapa, upande wa pili Qatar ili azimwage tena noti upande wa mwingine kuwanyamazisha hao waendesha mashtaka, rushwa haitakoma duniani abadan
 
Unazo hoja za msingi. Lakini mwanya wanaopata Marekani na Uingereza kutimiza azma yao ni rushwa iliyokithiri pale FIFA. Haiwezekani watu wake wa karibu wahusike yeye asiwemo.

Awe na msimamo sawa, lakini pia awe msafi. Mtu wa chini yake akipiga US Dollars 10m , yeye atakuwa kapiga ngapi?

Mkuu nakubaliana nawe, lakini itakuwa kazi ngumu ku-prove kwamba Blatter aliongwa na whoever - Blatter ni master of disguise and very crafty indeed - mara ngapi wamejaribu kumu-corner au kumtega kwa mbinu chungu mzima lakini anafanikiwa kuruka vihunzi - itawabidi wafanye kazi ya ziada kumung'oa Blatter labda wa-resort kwenye unorthodox mbinu, lakini wajihingiza kichwa kichwa kutaka kumpiga kura ya kukosa imani naye nawahakikishia ATAWASHINDA - Mataifa mengi yana muhunga mkono na hana ubaguzi.

Mimi najuwa kwa nini Merikani inataka kulivalia njuga suala hili - watatumia mbinu kuwalaghai watuhumiwa ili wasema kwamba na Blatter alihongwa - why pick on them? Sio kwamba Merikani hiko overly concern na masuala ya MIPIRA kivile hapana,tatizo zima boils down to Merikani kushindwa kumilikia strategically important port and naval base ya Sevastopol huko CRIMEA - hasira zao ndizo zinawafanya watafute kisingizio however infinitesimal ili wampe fundisho PUTIN Taifa lake lisi host World Cup, ni hilo tu mkuu - sasa hapa wanamepata an opportune time to get EVEN - we utakuja kunambia, watasema Urusi ilihonga Blatter ndio maana akashinda kupata nafasi ya ku-host World Cup kwa hiyo michezo hiyo iondolewe URUSI.
 
Ni kweli ndio maana Putini amesema hivi
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1432818755.056192.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1432818755.056192.jpg
    47.5 KB · Views: 40
Back
Top Bottom