palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Na kibaya zaidi mashindano haya yanavuruga ratiba za ligi mataifa mbalimbali, lakini yeye hizo gharama haangalii, kisa rushwa, na uzee wote anang'ang'ania tu FIFA.
wenye hasira kubwa na waingereza baada ya kukosa kuandaaa world up 2022.