bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani Fifa Linaendelea Nchini Japan,Huku Afrika ikiwakilishwa na Mabingwa wa Afrika MAMELODI SUNDOWNS kutoka Afrika Kusini.
Wawakilishi Hawa wa Afrika Jana wameanza Vibaya michuano hii baada ya Kufungwa Goli 2-0 na Club Ya Nchi Mwenyeji Kashima Antlers.
Tutazidi Kujuzana Matokeo Zaidi.
Tukumbuke Bingwa Mtetezi ni Barcelona.
Wawakilishi Hawa wa Afrika Jana wameanza Vibaya michuano hii baada ya Kufungwa Goli 2-0 na Club Ya Nchi Mwenyeji Kashima Antlers.
Tutazidi Kujuzana Matokeo Zaidi.
Tukumbuke Bingwa Mtetezi ni Barcelona.