Kwani hata Haland angepata ingekuwa ya Ronaldo? Watu tunatamani tu kuona ushindani mpya, sura mpya. Hakuna hate yoyote. Na ukitaka kuamini watu wanataka ushindani mpya na miaka miwili ijayo apewe hata kama anastahili uone mitandao itakavyocharuka.
Kwani hata Haland angepata ingekuwa ya Ronaldo? Watu tunatamani tu kuona ushindani mpya, sura mpya. Hakuna hate yoyote. Na ukitaka kuamini watu wanataka ushindani mpya na miaka miwili ijayo apewe hata kama anastahili uone mitandao itakavyocharuka.
Wachezaji wa Dunia walikutana wapi na mshindi wao alitokea nchi gani? Baadae wanaangalia makutano ya Ligi zenye ushindani duniani then mshindi wao alikuwa nani? Sasa umepata picha kwanini Messi alishinda hiyo tuzo.
Ukiangalia hizo kura (na sio kuhadithiwa) uatelewa kwanini wanashinda watu maarufu. Messi kashinda sababu fans wamejumuishwa pia ila Haaland kashinda kwenye Waandishi wa habari wa Michezo.
Na Cha Ajabu Rodri hayupo kabisa hata kwenye 11 Bora.
Wachezaji wa Dunia walikutana wapi na mshindi wao alitokea nchi gani? Baadae wanaangalia makutano ya Ligi zenye ushindani duniani then mshindi wao alikuwa nani? Sasa umepata picha kwanini Messi alishinda hiyo tuzo.