A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,359 Reaction score 40,800 Sep 16, 2020 #41 ChickMagnet said: Fifa 14 ndo fifa tamu zaidi mpaka leo bado nacheza Click to expand... Nakubaliana na wewe mkuu. Naipenda saaana Classic XI. Humo ndani kuna akina Cantona, anaruka vichwa balaa. Kuna mnyama Zico, anakaba na kushambulia hatari. Kuna frankly, akimbia si mchezo. Hugo Sanchez na Voller hizi strikers ni moto mwingine. Ukuta wa nyuma ukimkuta Koeman utajuta. Ukicheza na mtu akatumia hii timu huwezi ukampiga.
ChickMagnet said: Fifa 14 ndo fifa tamu zaidi mpaka leo bado nacheza Click to expand... Nakubaliana na wewe mkuu. Naipenda saaana Classic XI. Humo ndani kuna akina Cantona, anaruka vichwa balaa. Kuna mnyama Zico, anakaba na kushambulia hatari. Kuna frankly, akimbia si mchezo. Hugo Sanchez na Voller hizi strikers ni moto mwingine. Ukuta wa nyuma ukimkuta Koeman utajuta. Ukicheza na mtu akatumia hii timu huwezi ukampiga.
Eng. Zezudu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 8,361 Reaction score 12,324 Sep 16, 2020 #42 Update na fifa infinity patch 14, hii patch iko poa sana , Yani imekamilika