kalapina si rahisi aje Arusha si unajua alikuwa na beef na nako 2 nako hawezi tia maguu, mbaya zaidi yule member wa n2n waliyempiga abuu nako sasa ndio mkula wa junior nako hao manyoka berlo lao usipime hawaogopi kitu na wamejikita kwenye vurugu zaidi kuliko usanii waulize watoto wa mama na walevi wa shiverz wanawajua vizuri saana