FIESTA DAR

FIESTA DAR

mzee wa mazabe

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
843
Reaction score
629
Burudani ya Fiesta ambayo imefadhiliwa na Tigo imefanya vizuri katika Mikoa yote ambayo ilipita pamoja na kuambata na Fursa kwa wale wasiojua neno Fursa hii inatokana hasa na Target costing yaani unatageti gharama kwanza kabla ya kujua Price, mimi kwa mtazamo wangu ni ubunifu wa hali ya juu na ilitakiwa Clouds Media kupongezwa kwa ubunifu huu, lakini kabla ya burudani hii kufanyika nimeshuhudia Wakuu wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Polisi wakihojiwa na waandaaji na kutoa ushirikiano wa hali ya juu, swali langu ni mbona hapa Dar sioni cha Mkuu wa Mkoa wala RPC wa Kanda maalum ya Dar wakihojiwa?au ndio kuna mgomo baridi?
Nawasilisha wakuu.
 
mh hiyo fiesta ingekuwa ina manufaa kwa nchi ingekuwa powa sana lakin tatizo mnaacha kufanya mambo ya msingi mnaleta uzinzi pale
 
Kova alikuwa anahojiwa ila hawa wa sasa hivi, anywa!
 
Burudani ya Fiesta ambayo imefadhiliwa na Tigo imefanya vizuri katika Mikoa yote ambayo ilipita pamoja na kuambata na Fursa kwa wale wasiojua neno Fursa hii inatokana hasa na Target costing yaani unatageti gharama kwanza kabla ya kujua Price, mimi kwa mtazamo wangu ni ubunifu wa hali ya juu na ilitakiwa Clouds Media kupongezwa kwa ubunifu huu, lakini kabla ya burudani hii kufanyika nimeshuhudia Wakuu wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Polisi wakihojiwa na waandaaji na kutoa ushirikiano wa hali ya juu, swali langu ni mbona hapa Dar sioni cha Mkuu wa Mkoa wala RPC wa Kanda maalum ya Dar wakihojiwa?au ndio kuna mgomo baridi?
Nawasilisha wakuu.
Umeanza vizuri ukanileta kwenye fani yangu hasa mambo ya market,ila ulivomaliza mmmh wacha nikaushe.
 
Back
Top Bottom