Field Marshall Mwigulu Nchemba AITEKA KIGOMA

Field Marshall Mwigulu Nchemba AITEKA KIGOMA

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
[h=3]Haya Mafuriko yaisomba Kigoma bila ya huruma.[/h]Sasa tunamsubiri Rais Magufulu kuja kupigilia Msumari wa Mwisho








 
11889414_421094221426145_6619916431336820262_n.jpg
 
Field Marshal + Mwigulu + Kuteka= Ugaidi.
Pole sana Mussa Tesha
 
Mbona mhutubiaji yupo karibu kabisa na watu?. Alafu watu wengine wapo nyuma yake. Wengine wameelekeza macho sehemu tofauti na mhutubiaji. Chama kikubwa kama CCM ni aibu kufanya photo editing kama hivi.
 
Duh naona CCM wamechokozwa sasa wanashambulia kama nyuki. Kila kona ya Tanzania wapo wanakamua kwa kwenda mbele. Field Marshal naye kumbe amejimegea kipande chake na anakamua huko kwa sera za CCM. Nasikia Nape na wengine wapo sehemu mbalimbali.

kwa hakika CHADEMA wataisoma namba kwani haya makamuzi yatamtoa mtu kamasi na damu za pua.
 
Mwenye akili, i repeat, kama mtu ni pumbavuuu, lofaa... hatanielewa..

Ukisoma peoples' mind and faces, hapo HAWANA IMANI NA CCM kabisaaa...

Waangalieni vizuriii.. ni watu WAMEKUJA TU kuwaangalia, hawana HOPE na CCM kabisaa...

Kama ww ni pumbavuu, lofa wa CCM hutanielewa... mikutano yote ya CCM watu wanaangalia tu, hawaitaki CCM kabisa
 
Duh naona CCM wamechokozwa sasa wanashambulia kama nyuki. Kila kona ya Tanzania wapo wanakamua kwa kwenda mbele. Field Marshal naye kumbe amejimegea kipande chake na anakamua huko kwa sera za CCM. Nasikia Nape na wengine wapo sehemu mbalimbali.

kwa hakika CHADEMA wataisoma namba kwani haya makamuzi yatamtoa mtu kamasi na damu za pua.
Ngoja wanaume kazini waingie ndio muuone moto anaenda kununua nyanya Tandale anajaza kama huo mkutano wenu akiandaa mkutano si ndio funga kazi? Nyambaf
 
Huyo anawadanganya hana lolote la kuwaeleza kwa sababu CCM imeshindwa kwa kila kitu.
 
Hi ngoja ngoja itaisha lini, wekeni timu ianze kushambulia mikoani, siku hazigandi. Porojo nyingiii halafu CCM ikishinda, Oooo goli la Mkono, acheni kujifariji, na kujifanya hamuuoni ukweli hata kama macho mnayo.
 
Back
Top Bottom