hivi kwa nini na nyie msikatae hizo allowance mbona si kipindi kile tunasoma tulikuwa tunafanya field kwa vijisent vichache, wengi wa wanaoenda field huwa hawatumii hizo ela wanazopewa ila wanatumia kwa mambo yao binafsi, sasa huo si ufisadi?
wanafunzi kataenzi hizo posho za field