VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Tangu kuanzishwa kwake,Shule ya Wavulana ya Feza na ile aliyohitimu Mwanaasha(Feza Girls) zimekuwa zikifanya vizuri kwenye matokeo ya ima kidato cha nne au cha sita.Matokeo ya jana imekamata nafasi ya pili kitaifa ikiwa na Daraja la Kwanza la alama 3 lililowashinda Mzumbe,Ilboru,Tabora Boys na Kibaha(vipaji maalumu).Nini siri ya ushindi wa Feza Boys na 'Mwanaasha' Girls?