PreGE2025 Festo Sanga: Ndani ya Miezi 9 tumeweza kununua Tani 5.2 za dhahabu, hili ni jambo kubwa sana

PreGE2025 Festo Sanga: Ndani ya Miezi 9 tumeweza kununua Tani 5.2 za dhahabu, hili ni jambo kubwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Mbunge wa Makete, Festo Sanga ambaye amejinasibu kuwa tarejea Bungeni katika Bunge lijalo, amesifia uamuzi wa Serikali kusaini mikataba ambayo itawezesha Serikali kupata madini mengi ya dhahabu.

Ameeleza hayo akiwa Bungeni, leo Juni 17, 2025 kwa kusema "Ndani ya miezi 9 tumeweza kununua Tani 5.2 za dhahabu safi. Hili ni jambo kubwa sanaa katika kipindi hiki chenye geopolitics tensions na political instability Duniani."

Pia soma ~ Benki Kuu ya Tanzania kuuziwa 20% dhahabu inayozalishwa na Shanta, Geita Gold Mine, Buckreef Gold
 
Back
Top Bottom