Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,510
- 27,003
Hebu tujikumbushe kidogo, tumeambiwa kusahau.
Chorus (Ferouz)
Hapa nilipo mimi nipo kitandani
Starehe zimeniweka matatani
Kupona tena mimi haiwezekani
Masela wangu ndugu zangu buriani
Kwaherini, kwaherini, kwaherini
Sua side Scott Jenta kwaherini
Bongo Record na Majani kwaherini
Hamtoniona tena duniani
Sasa najuta, mwenzenu yamenikuta
Ibilisi amefanikiwa kunivuta
Sasa sijui wa kumlaumu nani
Kati ya nafsi yangu ama shetani!
Kwaherini, kwaherini, kwaherini
Makongo na Jiteute, kwaherini
Mohaa na Azania, kwaherini
Aan haa, haaa, haaa
Verse 1 (Ferouz):
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama/
Nimeshaachana na Jack sasa namfata Salama.
Saa kumi na mbili na appointment mademu wawili/
Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili.
Jenny wa Mikocheni ambaye sasa hayupo tena duniani/
Aliyekuwa akinisubiria pale Vatican Kijiweni.
Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni/
Na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni.
Huo ndio uliokuwa mwenendo wa maisha yangu,
Mimi viwanja kujivinjari na machangu oh ooh
Niliona fahari ii yeah...
Starehe mi nilizifanyia papara,
Nilibadili mademu kama vidaladala.
Nikienda nimepanda hili, nikirudi lile,
Nilitamani starehe zote nizitawale.
Hata kumkumbuka Mola wangu ilikuwa ndoto,
Nilitekwa na ulimwengu kumbe naukimbilia moto.
Katika kubadili wasichana nilikubuhu,
Nilitembea na watoto wa geti, machangu na masista duu!
Ubaya kwamba condom sikuitambua/
Kwa kujua kwamba ladha ya mapenzi itapungua.
Kumbe nilikuwa ninapotea njia/
Niliyoshauriwa mimi niliyapuuzia.
Idadi ya wanawake ikawa lukuki/
Ikafika kipindi wengine nikawa siwakumbuki!
Ona, ona aa!!
Ona sasa yaliyonisibu kwa dada yake Bashiri,
Nilishamsahau kama tulishakutana kimwili!
Nilivyomuona, nikamtongoza tena,
Tena kwa mara ya pili.
Ona sasa aa aah!!
Ulishawahi kumsahau 'demu' wako kiasi cha kumtongoza upya?
Chorus (Ferouz)
Hapa nilipo mimi nipo kitandani
Starehe zimeniweka matatani
Kupona tena mimi haiwezekani
Masela wangu ndugu zangu buriani
Kwaherini, kwaherini, kwaherini
Sua side Scott Jenta kwaherini
Bongo Record na Majani kwaherini
Hamtoniona tena duniani
Sasa najuta, mwenzenu yamenikuta
Ibilisi amefanikiwa kunivuta
Sasa sijui wa kumlaumu nani
Kati ya nafsi yangu ama shetani!
Kwaherini, kwaherini, kwaherini
Makongo na Jiteute, kwaherini
Mohaa na Azania, kwaherini
Aan haa, haaa, haaa
Verse 1 (Ferouz):
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama/
Nimeshaachana na Jack sasa namfata Salama.
Saa kumi na mbili na appointment mademu wawili/
Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili.
Jenny wa Mikocheni ambaye sasa hayupo tena duniani/
Aliyekuwa akinisubiria pale Vatican Kijiweni.
Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni/
Na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni.
Huo ndio uliokuwa mwenendo wa maisha yangu,
Mimi viwanja kujivinjari na machangu oh ooh
Niliona fahari ii yeah...
Starehe mi nilizifanyia papara,
Nilibadili mademu kama vidaladala.
Nikienda nimepanda hili, nikirudi lile,
Nilitamani starehe zote nizitawale.
Hata kumkumbuka Mola wangu ilikuwa ndoto,
Nilitekwa na ulimwengu kumbe naukimbilia moto.
Katika kubadili wasichana nilikubuhu,
Nilitembea na watoto wa geti, machangu na masista duu!
Ubaya kwamba condom sikuitambua/
Kwa kujua kwamba ladha ya mapenzi itapungua.
Kumbe nilikuwa ninapotea njia/
Niliyoshauriwa mimi niliyapuuzia.
Idadi ya wanawake ikawa lukuki/
Ikafika kipindi wengine nikawa siwakumbuki!
Ona, ona aa!!
Ona sasa yaliyonisibu kwa dada yake Bashiri,
Nilishamsahau kama tulishakutana kimwili!
Nilivyomuona, nikamtongoza tena,
Tena kwa mara ya pili.
Ona sasa aa aah!!
Ulishawahi kumsahau 'demu' wako kiasi cha kumtongoza upya?