Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Fernando Torres apewa heshima zote Atletico ashindwa kujizuia na kulia mbele ya Umati.
Torres alianza mpira akiwa na miaka 11 akiichezea Atletico Madrid team ya watoto 1995-2001 na kujiunga name Atletico Madrid Team Kubwa 2001-2007 alipotoka hapo Akaenda England kukipiga na Liverpool,Chelsea na alipotoka England Akaenda Milan Italy na kurudi Spain ATLETICO kipaji kilipozaliwa safari yake ya mpira imekua na mafanikio makubwa ingawa misukusuko haikosekani lakini yote hayo katika wachezaji wenye Bahati huyu ana Bahati Kubwa sana ya kunyanyua vikombe popote atiapo mguu niwazi kwamba FERNANDO TORRES nimiongoni mwa majina makubwa kwenye ulimwengu wa soka na ni miongoni mwa wachezaji wenye Kupendwa sana na Mashabiki awe kwenye form asiwe kwenye form Mashabiki huwa pamoja nae.
Hakika anahaki ya kutoa Machozi wapo wakina lukaku wanatamani kupendwa ila ndio vile
Torres alianza mpira akiwa na miaka 11 akiichezea Atletico Madrid team ya watoto 1995-2001 na kujiunga name Atletico Madrid Team Kubwa 2001-2007 alipotoka hapo Akaenda England kukipiga na Liverpool,Chelsea na alipotoka England Akaenda Milan Italy na kurudi Spain ATLETICO kipaji kilipozaliwa safari yake ya mpira imekua na mafanikio makubwa ingawa misukusuko haikosekani lakini yote hayo katika wachezaji wenye Bahati huyu ana Bahati Kubwa sana ya kunyanyua vikombe popote atiapo mguu niwazi kwamba FERNANDO TORRES nimiongoni mwa majina makubwa kwenye ulimwengu wa soka na ni miongoni mwa wachezaji wenye Kupendwa sana na Mashabiki awe kwenye form asiwe kwenye form Mashabiki huwa pamoja nae.
Hakika anahaki ya kutoa Machozi wapo wakina lukaku wanatamani kupendwa ila ndio vile