Felchesmi Mramba kadanganya Watanzania

Felchesmi Mramba kadanganya Watanzania

Halafu ccm ccm... Pumbavu kabisa....tunakosa huduma muhimu Tanesco wanajibu tu anyhow....kwa kweli tunahitaji mabadiliko.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki mpeni,Tanesco wanafanya kazi nzuri sana wakati huu ukilinganisha na kipindi chochote cha historia ya nchi yetu,tuwapongeze badala ya kuwakatisha tamaa kwa kuwa hiki ni kipindi cha mpito tu ambacho kina maboresho makubwa na utekelezaji wa miradi mikubwa kupitia REA.siasa zisiiingizwe kwenye mambo ya kisayansi

Mara ingine ujaribu kuongea kama mtu mwenye weledi na unachooongelea.....kufanya matengenezo ambapo unasimamisha huduma nationwide ni weakness kubwa kiutendaji.....haijalishi unafanya kwa nia njema au ovu.
 
upuuzi kweli kila siku wanakata.huu ni mgao na mbaya zaidi hawatangazi
 
hadi morogoro. pia me mke wangu anaamka usiku wa manane kuninyooshea nguo zangu . yan hatulali tnavzia umeme
 
makoko jumanne we sio mzima asee. . . . . ..

Ni watu type hii ndio wanajibu maswali na kuandaa hotuba za mawaziri. Wanafanya kazi kwa mazoea miaka nenda miaka rudi. No wonder mujibu yake yasio na kichwa wala miguu
 
Last edited by a moderator:
Inamaana huwo mgao Wa Umeme uko arusha pekee maana sijasikia kama kunamaeneo mengine ya nchi ya kilalamika. Na pia Tanesco haiusiani na siasa kwaiyo msepende kulichafua shilika kwanza mimi naona siku hizi wanajiataidi sana ktk kazi zao angalau sasahivi tunaona mbadiliko.epukeni kuupotosha uma. Namuunga mkono ndugu viatu virefu yuko sahii kabisa

Acha kuunga mkono kukatwa kwa umeme.

Jana umeme ulirudishwa Mwanza saa 3 usiku, na leo asubuhi hii tayari wameshaukata.
 
Nashindwa kuaamini kuwa kama mtoa mada kama anewa kitu chochote kinachousiana na tanesco au ndo kuandika kishabiki maana sielewi uhusiano uliopo ktk Tanesco na ccm maana hakuna uhusiano wowote na usitoshe tanesco ni Mali ya uma na ya chama. Na pia arusha ndo walikuwa na umuhimu na lowassa au ni nchiza au kwa vile anatokea arusha ndo mnajiona kuwa mnaonewa mm nadhani kama Umeme ungekatika nchi nzima hapo tungehoja. Acheni ushabiki

Umeme ulikatika karibia nchi nzima..Tanesco wako kisiasa zaidi
 
Kwani sisi hatujawahi kudanganya???

Wangapi wametudanganya na bado wanatudanganya??

Kama kuna matengenezo wacha wafanye
 
Back
Top Bottom