Mnyonge mnyongeni lakini haki mpeni,Tanesco wanafanya kazi nzuri sana wakati huu ukilinganisha na kipindi chochote cha historia ya nchi yetu,tuwapongeze badala ya kuwakatisha tamaa kwa kuwa hiki ni kipindi cha mpito tu ambacho kina maboresho makubwa na utekelezaji wa miradi mikubwa kupitia REA.siasa zisiiingizwe kwenye mambo ya kisayansi
makoko jumanne we sio mzima asee. . . . . ..
Inamaana huwo mgao Wa Umeme uko arusha pekee maana sijasikia kama kunamaeneo mengine ya nchi ya kilalamika. Na pia Tanesco haiusiani na siasa kwaiyo msepende kulichafua shilika kwanza mimi naona siku hizi wanajiataidi sana ktk kazi zao angalau sasahivi tunaona mbadiliko.epukeni kuupotosha uma. Namuunga mkono ndugu viatu virefu yuko sahii kabisa
Nashindwa kuaamini kuwa kama mtoa mada kama anewa kitu chochote kinachousiana na tanesco au ndo kuandika kishabiki maana sielewi uhusiano uliopo ktk Tanesco na ccm maana hakuna uhusiano wowote na usitoshe tanesco ni Mali ya uma na ya chama. Na pia arusha ndo walikuwa na umuhimu na lowassa au ni nchiza au kwa vile anatokea arusha ndo mnajiona kuwa mnaonewa mm nadhani kama Umeme ungekatika nchi nzima hapo tungehoja. Acheni ushabiki