Inamaana huwo mgao Wa Umeme uko arusha pekee maana sijasikia kama kunamaeneo mengine ya nchi ya kilalamika. Na pia Tanesco haiusiani na siasa kwaiyo msepende kulichafua shilika kwanza mimi naona siku hizi wanajiataidi sana ktk kazi zao angalau sasahivi tunaona mbadiliko.epukeni kuupotosha uma. Namuunga mkono ndugu viatu virefu yuko sahii kabisa