Feitoto yupo sawa kisheria

Huo utaratibu kwenye ishu za Ulinzi au serikalini, ila kwa sehemu zinazojielewa lazima utoe notice si chini ya Mwezi.

Unaonekana ww hujaajiriwa.
Kwahiyo walinzi na serikali hawajielewi!!!???kweli nyie utopolo mmechanganyikiwa.....mafala kweli
 
We nae ni choko kweli haswa!! Niliwahi kukuuliza hii beji ya platinum uliipata kwa kutoa hoja za hivi au ulihongwa??.
Duniani kote watu siwanguvunja mkataba kma ndio rahisi hivi??, Kabla ya yeye kuvunja mkataba amezihusishaje taasisi za kimpira??, Acheni utahira na mihemko ya nyege mshindo!!
Dejan alipotangaza kuvunja mkataba kienyeji hukuona ngada fc mmekana huo utaratibu?.
Kama beji ya platinum member inatolewa kwa hoja Basi wewe hii beji umehongwq maana mi zero kabisa
Punguza hasira,haitomrudisha feitoto utopoloni...kuna vingi vimemfanya avunje mkataba mwenyewe kasema moja wapo ni kumvalisha mkoti wa aliyekuwa makamu mwenyekiti na miwani ya kiwewe
 
Binafsi sioni ajabu kwa Fei kutaka kuondoka yanga kwasababu ndio maisha ya mpira ma wachezaji Duniani kote hutoka timu moja kwenda nyingine!!.
Kinachonishangaza hapa ni namna fei alivyoamua kuondoka yanga na namna ambavyo Azam na fei wameamu kufanya Mambo locally/kienyeji kiasi hiki!!, Fei kisheria mkataba wake hawezi kuuvunja pekee yake pasina malidhiano ya pande mbili. Lakini pia hata Kama mkataba wake unamruhusu afanye hivyo na yanga wakawa hawamruhusu njia sahihi ilikuwa sio hiyo anayoitumia!!, Kuna vyombo mahususi vya kushughulikia Mambo nyeti na haki za wachezaji je alizishirkisha ili kupata haki yake??.
Yanga na timu nyingine za Tz iwe fundisho kwenu kuheshimu wachezaji wazawa kwa maslahi ya mpira wetu, haiwwzekana mtu km Fei azidiwe mshahara na,
1.Makambo 10m
2.Gael 6m,
3.morrison 23m
Hii inatia kinyaa mchezaji anayejitoa kwa damu na jasho timu kupata MATOKEO kuzidiwa mshahara na watu wasio na mchango kwenye timu.
Binafsi ningekuwa na uwezo ningemuacha fei aende anakoona Kuna maslahi kwake.

Niwatakie Noel njema!
Wakati wenzako wanasoma Sheria wewe ulikuwa bize kuwinda kware na Baba yako

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
TAARIFA KWA UMMA

KLABU ya Yanga inapenda kuujulisha umma na Wanachama wa Yanga kuhusiana na taarifa za mchezaji wetu Feisal Salum Abdallah zinazoenea katika mitandao ya kijamii.

Klabu inathibitisha kupokea barua kutoka kwa mchezaji tarehe 23 Disemba 2022 inayoeleza kuvunja Mkataba wake baina yake na Klabu.

Klabu ya Yanga imemuandikia na kumjibu Feisal na miongoni mwa majibu ni kama ifuatavyo;
1.Hakuna misingi ya kikanuni wala kisheria kulingana na mkataba wake ambazo zinampa haki mchezaji kusitisha mkataba wake na Klabu kwa mujibu wa makubaliano ya mkataba wa sasa
2.Kanuni na Taratibu za FIFA ziko wazi na zimeelezea taratibu zote juu ya Jambo la aina hii.
3.Kwamba, Mkataba baina ya mchezaji na Klabu hauwezi kuvunjwa na upande mmoja tu bila kujadiliana na upande wa pili wakati msimu wa ligi ukiwa unaendelea.
4.Kwamba, kwa mazingira hayo, barua ya mchezaji ina dhana potofu na haina misingi ya kisheria ya kuvunja mkataba baina ya klabu na mchezaji
5.Na kwa mantiki hiyo, tumemuagiza Feisal, azingatie matakwa ya mkataba wake kama ilivyoelezwa katika mkataba huo.
6.Klabu pia imemkumbusha Feisal, mkataba wake wa sasa ni halali hadi ifikapo Tarehe 30 Mei 2024

Pamoja na hayo, tunapenda kuujulisha umma kuwa, kwa kuthamini kiwango na mchango wa Faisal kwa klabu yetu, tayari tulishaanza mazunguzo baina ya klabu ya Yanga na wawakilishi wa Feisal wakiongozwa na mama mzazi wa mchezaji ili kuboresha maslahi yake na kuongeza muda wa mkataba wake wa sasa ambao unaishia Mei 2024.

Hata hivo, Klabu haijapokea majibu mbadala wa mapendekezo ya maboresho haya kutoka upande wa Feisal na wawakilishi wake na badala yake tumepokea barua inayoelezea kuvunja mkataba kutoka upande wa Feisal ambayo ni Kinyume na makubaliano ya mkataba wake wa sasa.

Klabu tayari imesharejesha fedha kiasi cha TZS 112,000,000 (Millioni Mia Moja na Kumi na mbili) ambazo Feisal aliziweka katika Akaunti za Klabu.

Tunapenda kueleza kuwa, kuna taratibu na kanuni za Shirikisho la Soka la la Tanzania (TFF) na zile za Shirikisho la Mpira wa miguu Duniani (FIFA) ambazo ni lazima zifuatwe na timu yoyote ile inayotaka kumsajli mchezaji yeyote wa Klabu ya Young Africans SC (YANGA).

Yanga, inasisitiza kuwa, Feisal Salum Abdallah ni mchezaji halali ya Yanga na ana mkataba hadi kufikia Mei 30, 2024.

Imetolewa na Idara ya Habari
Young Africans Sports Club

Huu ndio msimamo wetu wananchi. Kumbe Azam anatumiwa tu na mama yake Kolo kumpata Fei. Tulichoamua tumemrejeshea fedha zake, tuna mute hadi dirisha dogo lifungwe kisha tunakaa mezani kuzungumza. Atalainika tu.
Nyie mafala kweli,sasa munaendankuzungumza na mama yake ndiye mliyesaini nae mkataba?kwani fei ni u18??????huo ndio utopolo sasa......nyani katema bungo
 
Huo utaratibu kwenye ishu za Ulinzi au serikalini, ila kwa sehemu zinazojielewa lazima utoe notice si chini ya Mwezi.

Unaonekana ww hujaajiriwa.
Mimi nimewahi kuajiriwa tena kwenye international organizations niliacha KAZI Kwa notice ya masaa 24.

Na mkataba wangu ulikuwa Na hicho kipengele kwenye terminal clauses. Wewe endelea na Ajira za TAMISEMI huwezi kuelewa haya

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
We nae ni choko kweli haswa!! Niliwahi kukuuliza hii beji ya platinum uliipata kwa kutoa hoja za hivi au ulihongwa??.
Duniani kote watu siwanguvunja mkataba kma ndio rahisi hivi??, Kabla ya yeye kuvunja mkataba amezihusishaje taasisi za kimpira??, Acheni utahira na mihemko ya nyege mshindo!!
Dejan alipotangaza kuvunja mkataba kienyeji hukuona ngada fc mmekana huo utaratibu?.
Kama beji ya platinum member inatolewa kwa hoja Basi wewe hii beji umehongwq maana mi zero kabisa
Tofautisha mada wewe bwege,.
Fei Toto amebuy out release clause ya mkataba wake wenye thaman ya milion 112.

Huyo dejan hakubuy alivunja kiholera na Simba waliamua kuachana nae kiustaarabu Kwasababu walikuwa hawana interest nae tena.

Alichokifanya Faisal aliwahi kukifanya neymar kutokea Barcelona kwenda PSG ya France. Alinunua mkataba wake na Barcelona walikuwa wanagoma goma kama Yanga Ila mwisho WA siku walikubaliana Hali
Screenshot_20221225-091247.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi sioni ajabu kwa Fei kutaka kuondoka yanga kwasababu ndio maisha ya mpira ma wachezaji Duniani kote hutoka timu moja kwenda nyingine!!.
Kinachonishangaza hapa ni namna fei alivyoamua kuondoka yanga na namna ambavyo Azam na fei wameamu kufanya Mambo locally/kienyeji kiasi hiki!!, Fei kisheria mkataba wake hawezi kuuvunja pekee yake pasina malidhiano ya pande mbili. Lakini pia hata Kama mkataba wake unamruhusu afanye hivyo na yanga wakawa hawamruhusu njia sahihi ilikuwa sio hiyo anayoitumia!!, Kuna vyombo mahususi vya kushughulikia Mambo nyeti na haki za wachezaji je alizishirkisha ili kupata haki yake??.
Yanga na timu nyingine za Tz iwe fundisho kwenu kuheshimu wachezaji wazawa kwa maslahi ya mpira wetu, haiwwzekana mtu km Fei azidiwe mshahara na,
1.Makambo 10m
2.Gael 6m,
3.morrison 23m
Hii inatia kinyaa mchezaji anayejitoa kwa damu na jasho timu kupata MATOKEO kuzidiwa mshahara na watu wasio na mchango kwenye timu.
Binafsi ningekuwa na uwezo ningemuacha fei aende anakoona Kuna maslahi kwake.

Niwatakie Noel njema!
Umeeleza vizuri. Na hujaegemea upande wowote ule. Good✔️
 
Mwanasheria ameeleza vizuri hapo, kwa kuwa bado hujaelewa tukupe mfano mwepesi, Halaand amechukuliwa na City kwa kutumia sheria hiyo hiyo ya Release clause, mkifanikiwa kulipa Release clause hamuhitaji maongezi yoyote ya ziada na team ambayo mchezaji alikuwa anacheza.

Yanga wanune wazile ile Fei toto ndio ameshaondoka kwa pesa ndogo tu sababu ya ubahili wao.
Baada ya kulipa hiyo release clause ya Halland, wakarudisha na mshahara wa miezi mitatu kwa Dortmund?.

Umetolea mfano ambao hata ww hujauelewa.
 
Binafsi sioni ajabu kwa Fei kutaka kuondoka yanga kwasababu ndio maisha ya mpira ma wachezaji Duniani kote hutoka timu moja kwenda nyingine!!.
Kinachonishangaza hapa ni namna fei alivyoamua kuondoka yanga na namna ambavyo Azam na fei wameamu kufanya Mambo locally/kienyeji kiasi hiki!!, Fei kisheria mkataba wake hawezi kuuvunja pekee yake pasina malidhiano ya pande mbili. Lakini pia hata Kama mkataba wake unamruhusu afanye hivyo na yanga wakawa hawamruhusu njia sahihi ilikuwa sio hiyo anayoitumia!!, Kuna vyombo mahususi vya kushughulikia Mambo nyeti na haki za wachezaji je alizishirkisha ili kupata haki yake??.
Yanga na timu nyingine za Tz iwe fundisho kwenu kuheshimu wachezaji wazawa kwa maslahi ya mpira wetu, haiwwzekana mtu km Fei azidiwe mshahara na,
1.Makambo 10m
2.Gael 6m,
3.morrison 23m
Hii inatia kinyaa mchezaji anayejitoa kwa damu na jasho timu kupata MATOKEO kuzidiwa mshahara na watu wasio na mchango kwenye timu.
Binafsi ningekuwa na uwezo ningemuacha fei aende anakoona Kuna maslahi kwake.

Niwatakie Noel njema!
Umemaliza kila kitu ndugu.
 
Ndio hawa
So dortmund hawajapata pesa yoyote toka kwa man city sababu ya hiyo release clause,jamaa uwa mnatumia akili kweli au mmetanguliza mapenzi,Yanga si kama haitaki fei aondoke ila taratibu zifuatwe,kama taratibu za release clause ndio ziko hivyo asubuhi tu mchezaji anaamka na kurudisha signing fee ingekua vurugu basi!
Ndio hawajapata chochote kutoka kwa Man City, ile pesa ililipwa na Haaland kisheria sio Man City, Man City hakuwa na mazungumzo yoyote na Dortmund.
 
Waacheni waende CAS waone watakachofanywa, ukiwaambia mkataba haumalizwi kwa sheria za jumla jumla, bali ni specific terms zilizopo kwenye contract hawaelewi, wao wanabisha kwa sababu za kukariri tu, na mahaba.
 
Binafsi sioni ajabu kwa Fei kutaka kuondoka yanga kwasababu ndio maisha ya mpira ma wachezaji Duniani kote hutoka timu moja kwenda nyingine!!.
Kinachonishangaza hapa ni namna fei alivyoamua kuondoka yanga na namna ambavyo Azam na fei wameamu kufanya Mambo locally/kienyeji kiasi hiki!!, Fei kisheria mkataba wake hawezi kuuvunja pekee yake pasina malidhiano ya pande mbili. Lakini pia hata Kama mkataba wake unamruhusu afanye hivyo na yanga wakawa hawamruhusu njia sahihi ilikuwa sio hiyo anayoitumia!!, Kuna vyombo mahususi vya kushughulikia Mambo nyeti na haki za wachezaji je alizishirkisha ili kupata haki yake??.
Yanga na timu nyingine za Tz iwe fundisho kwenu kuheshimu wachezaji wazawa kwa maslahi ya mpira wetu, haiwwzekana mtu km Fei azidiwe mshahara na,
1.Makambo 10m
2.Gael 6m,
3.morrison 23m
Hii inatia kinyaa mchezaji anayejitoa kwa damu na jasho timu kupata MATOKEO kuzidiwa mshahara na watu wasio na mchango kwenye timu.
Binafsi ningekuwa na uwezo ningemuacha fei aende anakoona Kuna maslahi kwake.

Niwatakie Noel njema!
Yanga atoi pesa kama hisani, hivi kama mchezaji mwenyewe ajui thamani yake yanga ifanyeje.. you don't get what you deserve you get what you negotiate. Fei angekaa na uongozi wa yanga wamalizane kama hizi story ni za kweli basi kwenda azam ni kurudisha nyuma career yake
 
Yanga atoi pesa kama hisani, hivi kama mchezaji mwenyewe ajui thamani yake yanga ifanyeje.. you don't get what you deserve you get what you negotiate. Fei angekaa na uongozi wa yanga wamalizane kama hizi story ni za kweli basi kwenda azam ni kurudisha nyuma career yake
Ila Fei kafanya timing mbaya sasa mwache aende kwenye timu ambayo inafurahia kukaa nafasi ya 3
 
Mfano mzuri ni huku maofisini. Kuna kipengele cha mtu kuacha kazi kwa saa 24. Unarudisha mshahara wa mwezi unasepa. Huwezi kusema eti tukae mezani, tukae mezani wakati mimi nimevunja kwa mujibu wa mkataba . Tukae mezani kivipi wewe fala nini
Duuuh!
 
We nae ni choko kweli haswa!! Niliwahi kukuuliza hii beji ya platinum uliipata kwa kutoa hoja za hivi au ulihongwa??.
Duniani kote watu siwanguvunja mkataba kma ndio rahisi hivi??, Kabla ya yeye kuvunja mkataba amezihusishaje taasisi za kimpira??, Acheni utahira na mihemko ya nyege mshindo!!
Dejan alipotangaza kuvunja mkataba kienyeji hukuona ngada fc mmekana huo utaratibu?.
Kama beji ya platinum member inatolewa kwa hoja Basi wewe hii beji umehongwq maana mi zero kabisa😅🙌🏃
Dejan hakuwalipa Simba hata 100 kilaza wewe
 
Ila Fei kafanya timing mbaya sasa mwache aende kwenye timu ambayo inafurahia kukaa nafasi ya 3
Nafasi haimuhusu fei hata kidogo, fei amengalia baada ya nguvu za kucheza kuisha itakuwaje mustakabali wa maisha yake,
 
Back
Top Bottom