Fees za Ngorongoro crater kwa Locals

Fees za Ngorongoro crater kwa Locals

mr chakubanga

Senior Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
124
Reaction score
268
Habari wadau ,

Nina mpango wa kutembelea ngorongoro lakini sina taarifa za kutosha kuhusu gharama kwa wazawa maana nyingi naona ni za watalii wa nje. Hivyo members wenye info mnaweza tiririka pamoja na suggestion ya bajeti kwa mtu mmoja.

Wasalaam .
 
safi sana mkuu kwa kupanga kwenda kutalii.
sjawahi fika hii hifadhi japo nimetembelea zingine nafikiri wadau watatupa info
 
Tafuta tour company. Au una usafiri wako binafsi???
Habari wadau ,

Nina mpango wa kutembelea ngorongoro lakini sina taarifa za kutosha kuhusu gharama kwa wazawa maana nyingi naona ni za watalii wa nje. Hivyo members wenye info mnaweza tiririka pamoja na suggestion ya bajeti kwa mtu mmoja.

Wasalaam .
 
Naweza nikakupatia mwongozo wote wa kufika ngorongoro conservation area!!!!
 
Naomba nielekeze mkuu na kwa wengine wataokua interested

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Fees kwajili ya kuingia hifadhini n kama hiv kwa mtanzania in sh, 10000 na ukiweka pesa ya VAT in sh, 1800 kwaiyo jumla in sh,, 11800 Mara watu mtakaokuwepo kwenye gari....... Pia n tofauti na gari la gharama za gari....!!! Kiasi cha kulipia gari inategemea upon na gari gani????? Yaan gari inauzito gan???
 
Back
Top Bottom