Fedha za Stanbic ziligharamia kampeni UKAWA?

Fedha za Stanbic ziligharamia kampeni UKAWA?

mge

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
561
Reaction score
183
Gazeti la Raia Mwema limeripoti kwamba: Uchunguzi unaoendelea wa serikali kuhusu ufisadi wa takribani billion 13 katika mkopo uliochukuliwa Benki ya Stanbic unaonyesha kuwagusa watu ambao alikuwa mstari wa mbele kwenye kampeni za vyama vilivyo kwenye umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA)
 
Huyu naye ni miongoni mwa wajinga waliopo Tanzania yetu.
 
Watu gani hao na Kwanini msingesubir huo uchunguz ukamilike mlete taarifa kamili??,
 
Hizi ni chuki bado zinaendelea, ziendelezeni tu mwisho wa siku magugu na mchele vitajitenga
 
Gazeti la Raia Mwema limeripoti kwamba: Uchunguzi unaoendelea wa serikali kuhusu ufisadi wa takribani billion 13 katika mkopo uliochukuliwa Benki ya Stanbic unaonyesha kuwagusa watu ambao alikuwa mstari wa mbele kwenye kampeni za vyama vilivyo kwenye umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA)

Sidhani kama ni muda muafaka kuanza kuongelea UKAWA, CDM au CCM; hebu tuweke pembeni tofauti zetu za kisiasa (kwani kuna maisha baada ya uchaguzi) tujenge nchi uetu yenye kubarikiwa.
Kama kuna wahusika basi wahusishwe kama wao na sio kutuchanganya kwani mambo ya jinsi hii hayatujengi kabisa kitaifa. Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom