Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu huyo lowasa namemfahamu kwa kiasi chake. akiwa arusha watu walikula hela za kutosha tu. ilikuwa ukiwa tayari gari yako kuwepo kwenye msafara unapata mshiko wa kutosha, pikipiki nao pia. kwa kifupi kagawa sana pesa huyo jamaa. nayaandika haya nikiwa nawafahamu kwa majina na sura rafiki zangu waliofaidika na pesa ya huyu jamaa. nilikuwa nikiwauliza swali moja tu ambalo hakuna hata mmoja aliyejaribu kulijibu; ''hivi hizi hela anazogawa lowasa zitarudi vipi''hakuna aliyenijibu. kwa hiyo naelewa ninachokisema.Mkuu hebu jaribu kufuatilia matukio vizuri
mkuu huyo lowasa namemfahamu kwa kiasi chake. akiwa arusha watu walikula hela za kutosha tu. ilikuwa ukiwa tayari gari yako kuwepo kwenye msafara unapata mshiko wa kutosha, pikipiki nao pia. kwa kifupi kagawa sana pesa huyo jamaa. nayaandika haya nikiwa nawafahamu kwa majina na sura rafiki zangu waliofaidika na pesa ya huyu jamaa. nilikuwa nikiwauliza swali moja tu ambalo hakuna hata mmoja aliyejaribu kulijibu; ''hivi hizi hela anazogawa lowasa zitarudi vipi''hakuna aliyenijibu. kwa hiyo naelewa ninachokisema.
lakini hata hivyo nikiri kuwa jamaa anapiga kazi tatizo lake mwizi.
lakini zimekutwa kwenye hoteli ambayo wapambe wa lowasa walikokuwa wamepanga. Anyway, unaweza kuwa sahihi pia. hata hivyo kuupata ukweli ni shida maana kila mmoja anaandika kwa kuvutia upande wake.Mkuu umeambiwa zilikuwa za mmoja wa wale walioingia tano bora......sasa hapo Lowasa anaingiaje?
Mkuu hebu jaribu kufuatilia matukio vizuri
mhusika amekutwa akiwa kwenye hotel walikokuwa wamepanga wapambe wa lowasa. inawezekana kabisa zikawa sio zake japo ushahidi wa mazingira hayo ninayowaeleza yanaonesha mhusika.Lowasa hausiki hapo
mhusika amekutwa akiwa kwenye hotel walikokuwa wamepanga wapambe wa lowasa. inawezekana kabisa zikawa sio zake japo ushahidi wa mazingira hayo ninayowaeleza yanaonesha mhusika.
anyway, hata hivyo ni vigumu sana kuujua ukweli maana watu wanaandika kwa kuvutia upande wao. hatuna source neutral. mfano kama mmawia yeye anajulikana siku zote ni team lowasa na chadema kwa hiyo sitegemei habari yoyote anti-lowasa kutoka kwake.
mkuu wa kagoda ni rostam sio manjiHuyu huyu si ndio aliye usishwa na Kampuni hewa ya Kagoda Agricalture iliyemweka rais Kikwete madarakani!! Kwa kifupi huyu na Rostam ndio wanatupatia rais na baadhi ya wabunge!
Kagoda alimsingizia marehemu baba yake. Hii sijui atamsingizia nani?
Tayari zimerudishwa kwa mwenyewe hakuna uthibitisho wa rushwa tembelea MwanahalisiDanganya toto wanavuta muda ili walizime hili kimya kimya kisha warudishe pesa zake. Hizi pesa zingetumika kununulia madawati katika mikoa 7 yenye hali mbaya kwa Wanafunzi kukaa chini kila mkoa milioni 100
Saa nyingine kuna wakati Mungu huamua kuanika uovu wa mtu hadharani! Mwezi haujapita tangu siku Manji alipoitwa kwenye mdahalo ambapo alimtuhumu Mengi kuwa anamzushia tuhuma za rushwa. Tena alienda mbali na kusema ataacha madaraka yanga kutokana na kuchafuliwa jina lake licha ya kazi nzuri anayofanya. Natamani wamwite tena na wamwulize maswali yaleyale
ndo hela za lowasa alizokuwa anawaambia watu kuwa anachangiwa na marafiki zake? marafiki wenyewe ndo hawa wahindi wezi? kazi tunayo.
nisome vizuri kwenye post yangu uliyojibu. wewe sio reliable source kwa sababu uko-bias. mbona huelewi. hata ungesema ukweli wa aina gani hutaaminika. kwa wewe utomaso ni lazima. huchelewi kuingiza mtu chaka.Mkuu tafadhali nitake radhi,tukirudi kwenye hoja nikuwa huyo mhindi ni swahiba wa baba riz moko,na huyo mgombea urais aliye mwachia jimbo nape ni maswahiba na mkulu,
wengine wanasema ilikuwa kwa ajili ya kwenda kuanzisha riot kwenye mkutano jina la lowasa lirudishwe. kama utakuwa na kumbukumbu nzuri utakuwa uliwaona au kuwasikia vibaraka wake akina nchimbi, kimbisa, na sofia wakilianzisha kuanzia pale tu walipotoka kwenye kikao kuwa taratibu hazikufuatwa.Mkuu sipingi hayo ambayo pengine uliyashuhudia mwenyewe. Ila kwa muda ambao hizo pesa za Dodoma zinakamatwa ni kuwa jina la Lowasa tayari lilikuwa lishakatwa hivyo issue ya matumizi ya pesa kwake haikuwepo. Ndio maana inasemwa ni za Maembe. Hapa nilipo kuna waarabu wamebakia na mapicha yake ambayo alitaka kuanza kuprint.
wengine wanasema za aliyekatwa katikati. ila wengine wanasema aliyekuwa wa mwanzo.Mi nashindwa kuelewa kwani hizo pesa ni za aliekatwa Mwanzo au katikati?
Pesa ni za Manji tusimungunye maneno, sasa Manji akamatwe aseme kwanza kwa nini abebe pesa kwenye mabegi na amtume mfanyakazi wake na halafu akikie walipokuwa wajumbe wa mikutano muhimu kama ile. Ila kwa vile Manji akikatiwa bilioni 40 wakati ule wa mkuu wa kaya kuusaka, labda ndo zilikuwa zimebaki kazileta kurudisha kwa wenyewe. Kwa maneno mengine EPA ilikuwa ni hao hao jamaa waliokuwa wanaishi naye hapo St. Gaspar....sjui nini kinachunguzwa...kukamatwa na pesa zile zote ilikuwa lazima mtu awe ndani na si vinginevyo.