Fedha, polisi na mauaji ya Arusha

Fedha, polisi na mauaji ya Arusha

KARAMAG

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
63
Reaction score
74
Jeshi la Polisi nchini sasa ni aibu jamani. Fedha zinawaondolea maadili yoote. Mtuhumiwa aliyeua hivi majuzi kule Mererani jeshi linatoa taarifa za kupingana.

Polisi wanalinda wenye pesa hata katika uhalifu wa wazi mauaji yanayoendelea nchini bila hatua stahiki kuchukuliwa jeshi linastahili kulaumiwa.

Hata mtuhumiwa aliyeua kule Mererani jeshi lilikuwa linaogopa kumpeleka Babati, na inasemekana maelezo ya Mtuhumiwa huyo yalibadilishwa kwa nguvu ya pesa, tetesi za sasa tunaposikia kuna mwingine kauawa, yule aloshikiliwa majuzi naye yupo mtaani anapeta.

Ndiko tunakoelekea?
 
Jeshi la Polisi nchini sasa ni aibu jamani. Fedha zinawaondolea maadili yoote. Mtuhumiwa aliyeua hivi majuzi kule Mererani jeshi linatoa taarifa za kupingana. Polisi wanalinda wenye pesa hata katika uhalifu wa wazi mauaji yanayoendelea nchini bila hatua stahiki kuchukuliwa jeshi linastahili kulaumiwa. Hata mtuhumiwa aliyeua kule Mererani jeshi lilikuwa linaogopa kumpeleka Babati, na inasemekana maelezo ya Mtuhumiwa huyo yalibadilishwa kwa nguvu ya pesa, tetesi za sasa tunaposikia kuna mwingine kauawa, yule aloshikiliwa majuzi naye yupo mtaani anapeta. Ndiko tunakoelekea???
Andika taarifa kwa ufafanuzi hii habari umeiandika kama sisi wote tunajua matukio yaliyotokea huko. hakuna tunachokijua kwa hiyo fafanua ili tuwe pamoja
 
Kuna wanajf wengine bwana kama hawajielewi!!

"Nchi ngumu hii"
 
jeshi la polisi nchini sasa ni aibu jamani. Fedha zinawaondolea maadili yoote. Mtuhumiwa aliyeua hivi majuzi kule mererani jeshi linatoa taarifa za kupingana.

Polisi wanalinda wenye pesa hata katika uhalifu wa wazi mauaji yanayoendelea nchini bila hatua stahiki kuchukuliwa jeshi linastahili kulaumiwa.

Hata mtuhumiwa aliyeua kule mererani jeshi lilikuwa linaogopa kumpeleka babati, na inasemekana maelezo ya mtuhumiwa huyo yalibadilishwa kwa nguvu ya pesa, tetesi za sasa tunaposikia kuna mwingine kauawa, yule aloshikiliwa majuzi naye yupo mtaani anapeta.

Ndiko tunakoelekea?

fafanua
 
Jeshi la Polisi nchini sasa ni aibu jamani. Fedha zinawaondolea maadili yoote. Mtuhumiwa aliyeua hivi majuzi kule Mererani jeshi linatoa taarifa za kupingana.

Polisi wanalinda wenye pesa hata katika uhalifu wa wazi mauaji yanayoendelea nchini bila hatua stahiki kuchukuliwa jeshi linastahili kulaumiwa.

Hata mtuhumiwa aliyeua kule Mererani jeshi lilikuwa linaogopa kumpeleka Babati, na inasemekana maelezo ya Mtuhumiwa huyo yalibadilishwa kwa nguvu ya pesa, tetesi za sasa tunaposikia kuna mwingine kauawa, yule aloshikiliwa majuzi naye yupo mtaani anapeta.

Ndiko tunakoelekea?

mijitu mingine bana tabu tupu sijui mirembe huioni
 
mijitu mingine bana tabu tupu sijui mirembe huioni

Mtoa mada kakosea baadhi ya mambo,ila si kwa kiwango cha kumtukana!!msingi wa habari yake unaeleweka vizuri tu,ila nimegundua kuna watu wenye akili za nyumbu,mmoja akitangulia kupita njia hii,basi wanaofuatia lazima wapite palepale,mchangiaji wa mwanzo aliposema hajaielewa habari wengine nao wanakuwa hawaielewi japo kuna uwezekano wa kuielewa.
 
Tusilaumu polisi tu wanategemea kupata info kutoka kwetu ndio wazifanyie kazi au unafikiri wanatumia mashetani/ kutambua matukio tuwape ushirikiano wakutosha tutafanikiwa kutokomeza mauaji haya cse wauaji tunaishi nao mitaani na hawakai angani
 
Mtoa mada kakosea baadhi ya mambo,ila si kwa kiwango cha kumtukana!!msingi wa habari yake unaeleweka vizuri tu,ila nimegundua kuna watu wenye akili za nyumbu,mmoja akitangulia kupita njia hii,basi wanaofuatia lazima wapite palepale,mchangiaji wa mwanzo aliposema hajaielewa habari wengine nao wanakuwa hawaielewi japo kuna uwezekano wa kuielewa.

Well said Captain!
 
Back
Top Bottom