Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,252
- 2,038
Je kwa matoleo ya zamani labda feature hizo zitaendelea kuwepo? Google wahuni sana.
Red rice? Hebu hakiki kwanza maneno yakoMaKamanda naomba kuuliza hii Red Rice 6 pro ndio model ipo ya Xiaomi maana inanichanganya
Simu tajwa hapo juu ni Redmi 6 pro kumbuka kuna Redmi 6 pro na Redmi note 6 pro ambazo zinatumia Chipset tofautiMaKamanda naomba kuuliza hii Red Rice 6 pro ndio model ipo ya Xiaomi maana inanichanganya
Usichojua ni kwama wakati tunaanza kuzijua hizo simuRed rice? Hebu hakiki kwanza maneno yako
Simu za Xiaomi ni Xiaomi, Redmi, Poco na Black Shark
Hawana Red rice
ShukranSimu tajwa hapo juu ni Redmi 6 pro kumbuka kuna Redmi 6 pro na Redmi note 6 pro ambazo zinatumia Chipset tofauti
Afadhali ila kwenye message nako hakuna tena zile feature za zamani au kuna namna ya kuifuta hii application ya message niweke ya Xiaomi?.Pale wamezingua. Kuna namna unawezazitengenezea folder hizo picha halafu ukaficha folder kupitia setting sema sisi hiyo shida yake ni kwamba ukitaka kushare picha mojamoja mfano uko whatsapp unataka kutuma picha,ukitaka kushare hata zile zilizofichwa zinaonekana kwenye list
Kwa hiyo unazungumzia simu za zamani SanaUsichojua ni kwama wakati tunaanza kuzijua hizo simu
za Xiaomi zilikuwa zikiitwa kwa kichina" Hongmi" amabayo ukitafsri kwa kingereza inamaana ya red rice.
Baadae ndio wakabadili jina la hongmi kuwa Redmi
Nimefuatilia huku pinduoduo na taobao mpaka sasa Xiaomi wanaziita hong Mi huko yuanKwa hiyo unazungumzia simu za zamani Sana
Anyway ngoja nipishe, enzi hizo nilikuwa sijui chochote kuhusu Xiaomi. Hapo nilikutajia brand za sasa za Xiaomi kumbe ww unazungumzia brand iliyokufa tayari
Ngoja niwapishe wakongwe
SawaNimefuatilia huku pinduoduo na taobao mpaka sasa Xiaomi wanaziita hong Mi huko yuan
Zote zinatunza chaji ila MIUI 14 iko poa zaidi kwa sababu imekuja na feature ya Auto compression of apps ambapo apps zote ambazo huzitumii zinakuwa temporarily compressed ili ku-improve performance na kupunguza ulaji wa chajiHivi Miui 13 na 14 ipi ipo bora kwenye ukaaji wa chaji
Maana nimelinganisha nilivyokuwa na miui 13 na ya sasa 14Zote zinatunza chaji ila MIUI 14 iko poa zaidi kwa sababu imekuja na feature ya Auto compression of apps ambapo apps zote ambazo huzitumii zinakuwa temporarily compressed ili ku-improve performance na kupunguza ulaji wa chaji
MIUI 14 ni more battery efficient kuliko MIUI 13
Ukidownload new update na bloatware zinarudi tena. Jaribu kuzifuta zote ingawa solution ya tatizo lako inaweza kuwa fixed ukikomaa na GoogleMaana nimelinganisha nilivyokuwa na miui 13 na ya sasa 14
Naona 14 inakula zaidi ya 13