Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,723 Reaction score 126,575 May 5, 2025 Thread starter #121 Chick_tz said: Leo alikuwa shabiki wa Freiburg Click to expand... Hahahhahaa. Juzi alisikitika sana baada ya draw ya dk za jioni. Alikuwa anamulikwa na kamera sana kuoneshwa hali yake ya shauku ya kusherehekea Ubingwa, ila draw ikawa jau sana
Chick_tz said: Leo alikuwa shabiki wa Freiburg Click to expand... Hahahhahaa. Juzi alisikitika sana baada ya draw ya dk za jioni. Alikuwa anamulikwa na kamera sana kuoneshwa hali yake ya shauku ya kusherehekea Ubingwa, ila draw ikawa jau sana
Chick_tz JF-Expert Member Joined Mar 2, 2025 Posts 2,365 Reaction score 3,066 May 5, 2025 #122 Mwifwa said: Hahahhahaa. Juzi alisikitika sana baada ya draw ya dk za jioni. Alikuwa anamulikwa na kamera sana kuoneshwa hali yake ya shauku ya kusherehekea Ubingwa, ila draw ikawa jau sana Click to expand... alaf waliandaa jez za kusherekea ubingwa
Mwifwa said: Hahahhahaa. Juzi alisikitika sana baada ya draw ya dk za jioni. Alikuwa anamulikwa na kamera sana kuoneshwa hali yake ya shauku ya kusherehekea Ubingwa, ila draw ikawa jau sana Click to expand... alaf waliandaa jez za kusherekea ubingwa
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,723 Reaction score 126,575 May 6, 2025 Thread starter #123 Chick_tz said: alaf waliandaa jez za kusherekea ubingwa Click to expand... Hahahaha, wazivae mechi ijayo tu
Chick_tz said: alaf waliandaa jez za kusherekea ubingwa Click to expand... Hahahaha, wazivae mechi ijayo tu
Chick_tz JF-Expert Member Joined Mar 2, 2025 Posts 2,365 Reaction score 3,066 May 6, 2025 #124 Mwifwa said: Hahahaha, wazivae mechi ijayo tu Click to expand... Naiombea dortmund ibebe ubingwa msimu ujao
Mwifwa said: Hahahaha, wazivae mechi ijayo tu Click to expand... Naiombea dortmund ibebe ubingwa msimu ujao
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,723 Reaction score 126,575 May 6, 2025 Thread starter #125 Chick_tz said: Naiombea dortmund ibebe ubingwa msimu ujao Click to expand... Wakijipanga vizuri lakini..
Chick_tz said: Naiombea dortmund ibebe ubingwa msimu ujao Click to expand... Wakijipanga vizuri lakini..
Chick_tz JF-Expert Member Joined Mar 2, 2025 Posts 2,365 Reaction score 3,066 May 6, 2025 #126 Mwifwa said: Wakijipanga vizuri lakini.. Click to expand... Wale kazi kuibua vipaji kujenga tim imara hawatak
Mwifwa said: Wakijipanga vizuri lakini.. Click to expand... Wale kazi kuibua vipaji kujenga tim imara hawatak
Chick_tz JF-Expert Member Joined Mar 2, 2025 Posts 2,365 Reaction score 3,066 Jun 22, 2025 #127 Naona mnataka kubeba ubingwa wa fifa
Chick_tz JF-Expert Member Joined Mar 2, 2025 Posts 2,365 Reaction score 3,066 Dec 7, 2025 #129 Natamani tim zangu kama Barcelona,liverpool,dortmund tungekuwa na mchezaji kama OLISE Mwamba anajua mpira lakini watu wanamchukulia poa
Natamani tim zangu kama Barcelona,liverpool,dortmund tungekuwa na mchezaji kama OLISE Mwamba anajua mpira lakini watu wanamchukulia poa