Faulu vizuri, pata daraja la kwanza sekondari na GPA nzuri chuoni! Kama hujui karama yako ni bure

kali linux

JF-Expert Member
May 21, 2017
1,996
5,054
Nmeamini kweli mwalimu wa kweli ni maisha ya mtaani. Yaan kiukweli unaanza kuishi maisha halisi pale unapoacha au kumaliza shule. Kiukweli hii elimu yetu kama hatua za haraka zisipofanyika basi itatengeneza watu wenye matokeo mazuri sana na kuharibu vipaji, ndoto na skills za watu.

Mashuleni waalimu wanakalia kumfundisha mtu ajibu vzr mtihani wake lkn hawamwandai kujitambua yy ni nani na anavuwezo gn na pia anaweza kufanya nn ktk jamii yake.

Hizi division one zisitudanganye kabisa kiukweli thats not education for real. Coz Elimu (Education) inamaanisha 'bring forth' yaan true education inabidi imfanye mtu atambue karama zilizo ndani yake na azitoe na kuzitumia kwa ajili yake yy na jamii yake.

Divisions 1, na hizo gpa zitacount for nothing kama mtu bado haujielewi.

Kufaulu mtihani hata robot ilokua trained inaweza kukariri hayo ma notes na ikapata 100%. Sasa where comes the difference. Difference itakuja pale ambapo mtu atajielewa na kutumia education alio nayo kumanage vzr mazingira yake yanayomzunguka.

So matokeo haya yasitudanganye coz You may have 100% on the paper but 0% in your head.

Teachers should be empowered na pia waalimu wawe dedicated at their work.

Tusikazie kuongeza ufaulu na kuua creativity na talents za watu.

Prince Ea once said ''Modern schooling is just the game of grades, counting how many A's you got''

Please najua jf kuna wadau wa elimu naomba mliangalie hili.
 
Ni kweli kabisa mleta mada, nakumbuka nilikua na spirit ya kutunga story acha tu, ila kuanzia malezi ya home kwa mshua kutaka elimu ya cheti yaani hadi namaliza chuo uwezo wangu wa kutunga stories ukawa unafifia day by day plus pilika pilika za maisha ndio nishapigwa mtama na talent yangu ishazikwa cause of ubize... kushikilia sana elimu ya darasani ni kujitafutia umasikini, shule za ufundi kifo cha mende now tumebaki kupongeza watoto wetu kwa kupiga mibanda na single digits huku tukiwaandaa kuwa watumwa wa kimaisha kama tulivyo sisi now
 
Ni mawazo yako tu, ahsante kwa kutujuza unavyofikiri.

This is reality mkuu. Sio mawazo yangu tu hayo.
Haujiulizi kwann wazungu wanadevelop fast. Ni kwamba they have right people in the right industry/sector.

Wenyewe wanajali sana passion ya mtu na talent yake. Na mtu analelewa na kusapotiwa aje aishi kwenye hio passion na taalent yake yy. Ndo maana kama ni footballer utakuta anafanya kazi yake kwa 100% commitment coz hio ndo talent yake, kama ni mwanamitindo ataifanya kwa 100% commitment pia coz hio ndo dream yale.

Ila ukija huku kwetu, mtu anadream ya kuja kuwa footballer, we unamkomalie awe engineer, doctor au lawyer. Sasa kwanza atasoma in great misery coz analazimishwa, pili akimaliza masomo yake na tu assume akapata kazi, hio kazi hatoifanya kwa 100% commitment coz haienjoy. Na ndo maana unakuta madoctor wetu, engineers na watu wngne katika sector mbalimbali wanakuwa inefficient, ila sio makosa yao ni makosa ya malezi walimo lelewa na waliposomea.
 
Nmeamini kweli mwalimu wa kweli ni maisha ya mtaani. Yaan kiukweli unaanza kuishi maisha halisi pale unapoacha au kumaliza shule. Kiukweli hii elimu yetu kama hatua za haraka zisipofanyika basi itatengeneza watu wenye matokeo mazuri sana na kuharibu vipaji, ndoto na skills za watu.

Mashuleni waalimu wanakalia kumfundisha mtu ajibu vzr mtihani wake lkn hawamwandai kujitambua yy ni nani na anavuwezo gn na pia anaweza kufanya nn ktk jamii yake.

Hizi division one zisitudanganye kabisa kiukweli thats not education for real. Coz Elimu (Education) inamaanisha 'bring forth' yaan true education inabidi imfanye mtu atambue karama zilizo ndani yake na azitoe na kuzitumia kwa ajili yake yy na jamii yake.

Divisions 1, na hizo gpa zitacount for nothing kama mtu bado haujielewi.

Kufaulu mtihani hata robot ilokua trained inaweza kukariri hayo ma notes na ikapata 100%. Sasa where comes the difference. Difference itakuja pale ambapo mtu atajielewa na kutumia education alio nayo kumanage vzr mazingira yake yanayomzunguka.

So matokeo haya yasitudanganye coz You may have 100% on the paper but 0% in your head.

Teachers should be empowered na pia waalimu wawe dedicated at their work.

Tusikazie kuongeza ufaulu na kuua creativity na talents za watu.

Prince Ea once said ''Modern schooling is just the game of grades, counting how many A's you got''

Please najua jf kuna wadau wa elimu naomba mliangalie hili.
Umeongea kile kitu nimetoka kumwambia binti yangu baada ya haya matokeo ya form 4. Amefauru div 1 ya point 14,na masomo aliyofauru vizuri ni yale ya sayansi anayoegemea kuyachukua. Nikampa hongera. Lakini nikamwambia bahati mbaya mwanangu nyie mnaofauru vizuri darasani ndio nyie mnaoshindwa sana kimaisha. Nikamwambia unajua nini? Wengi wanaofauru darasani,kichwani wanajenga picha kwamba tayari maisha yake yote yanaendelea kufauru,hata ktk maisha ya kawaida. Shida inakuja pale atakapopata ajira yenye kipato kidogo au asipate ajira kabisa,ksbb wengi wanafauru vizuri darasani wanategemea ajira tu. Waliofanikiwa kimaisha wengi wao ni wale wasiofauru vizuri darasani au ambao hawana elimu (hapa sina maana wasisome). Kwa hiyo nikamwambia soma sana,lakini MUHIMU tucheck na biashara nataka uwe unaijua pia. Ukijua biashara itakupeleka kwenye kilimo. Wengi wanaofauru vizuri wana matarajio makubwa ya ajira yenye mshahara mnono sana. Bahati mbaya wengi wao wanasubiria ajira tu,hawana njia nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhhhhh nakumbuka kipindi nipo primary nilikuwa nachora sana vibonzo,nilikuwa mdogo mdogo,nilifanikiwa sana kutengeza network na magwiji wa vibonzo kipindi hiko,kuna kampuni moja nilitokea kupendwa sana na wafanyakazi,mpaka kuna mdada mmoja ilikuwa ni kero hapo kazini,siku akija kazini lazima anitafute ananihoji sana kuhusu maisha yangu.


Nilipoanza kukazana na shule nilitupa kila kitendea kazi pembeni ili nitie msuli wa kufa mtu,dahhh sasa hivi hata kuchora sikumbuki tena .

Mkuu umenena jambo zito sana ingawa watu wenye fikra finyu watakubeza.
 
Elimu yetu ndiyo inavyoendeshwa hivyo...

Kua na kitu kichwani siyo muhimu, muhimu ni kupata A's na GPS's za jua kwenye masomo...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom