OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Fatma Dewji Ametimiza Ahadi Yake Leo Waliowekeana Na Mshambuliaji Wa Simba Kuwa Endapo Angewatungua Azam Fc Angepewa Zawadi Ya 50M.
Ahadi Hiyo Ilikuwa Ya Siri Kati Yake Na Kagere Walipo Kuwa Wanabishana Huku Yeye Akimwambia Unazionea Timu Ndogo Na Kagere Akamwambia Nichagulie Timu Unayoiona Ni Kubwa Hapa Tanzania Na Fatma Akaichagua Azam Fc Na Kumwambia Endapo Angefunga Goli Mbele Ya Yakubu Na Amoh Angempa 50M.
Leo Amemkabidhi Na Kumkubali Kuwa Hakika Kagere Ni Mshambuliaji Wa Kuigwa.Kagere Ameichukua Pesa Hiyo Na Kumpelekea Nahodha Wa Simba John Bocco Awagawie Wachezaji Wote Sawa Kwani Walifundishwa Kupendana Na Kushirikiana Ndani Ya Club.Kumbuka Kuwa Fatma Dwji Ni Dada Yake Na Mohammd Dewji Pia Ni Boss Wa Kampuni Ya Mo extra Iliyoingia Mkataba Na Simba Wa Mwaka Mmoja Wenye Thamani Ya Tsh.250M.
My Take
Fatma usiweke ahadi kama hizi kwa timu mbovu Yanga,watakuja kufungwa goli 8 nchi iingie kwenye aibu
Ahadi Hiyo Ilikuwa Ya Siri Kati Yake Na Kagere Walipo Kuwa Wanabishana Huku Yeye Akimwambia Unazionea Timu Ndogo Na Kagere Akamwambia Nichagulie Timu Unayoiona Ni Kubwa Hapa Tanzania Na Fatma Akaichagua Azam Fc Na Kumwambia Endapo Angefunga Goli Mbele Ya Yakubu Na Amoh Angempa 50M.
Leo Amemkabidhi Na Kumkubali Kuwa Hakika Kagere Ni Mshambuliaji Wa Kuigwa.Kagere Ameichukua Pesa Hiyo Na Kumpelekea Nahodha Wa Simba John Bocco Awagawie Wachezaji Wote Sawa Kwani Walifundishwa Kupendana Na Kushirikiana Ndani Ya Club.Kumbuka Kuwa Fatma Dwji Ni Dada Yake Na Mohammd Dewji Pia Ni Boss Wa Kampuni Ya Mo extra Iliyoingia Mkataba Na Simba Wa Mwaka Mmoja Wenye Thamani Ya Tsh.250M.
My Take
Fatma usiweke ahadi kama hizi kwa timu mbovu Yanga,watakuja kufungwa goli 8 nchi iingie kwenye aibu