RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
You're only monopolizing losses.
ATCL will absorb the losses of Fastjet and Precision.
Tanzanian market is not big or rich enough to sustain an airline.
Tutakubishia hadi mishipa itoke lakini ndio ukweli....miaka ile wakati Precision anatamba bei za Mwanza au KIA zilikuwa Tsh500k hadi Tsh800k kwa return ticket.
Baada ya ujio wa Fastjet kisha ATC bei zimeshuka kwa kiwango kikubwa....ukiona mteja anatamani mtoa huduma awe na market monopoly jua kuna shida ya fikra hapo