Kabla kuja nafuu, wote tulitumia PW pale linapokuja swala la usafiri wa anga kwa ndani (domestic flights)
Ilipokuja nafuu wengi, pamoja na kwamba zile ticket za 32k walikuwa wanazipigia kelele zilikua hazipatikani kihivyo, maana zilikua ni chache sana, ilibidi ufanye booking labda 2 weeks or 3 weeks ahead ili kuzipata, hata hivyo bei zao, ukilinganisha na PW zilikua nafuu sana, na pia kwa sababu ndege zao zote ni kubwa, wanabeba abiria wengi kwa mpigo.
mwisho wa 2013 kulikua na safari ya kilimanjaro, mie nikabook fastjet mwenzangu akabook precision, nilishangaa kuona mimi nimelipa 100k zaidi kwa return ticket.
Sasa ninaenda tena moshi, nimecheck mtandao wa FastJet kwa tarehe nayotaka kusafiri ninahitaji kulipa 176k one way wakati PW kuna ticket ya 71K.
Nimejaribu kutizama FJ, hata kama unabook miezi miwili mbele, 32 elfu haipo tena, hii ni kusema bei za FJ sasa ziko juu kama tu PW au pengine zaidi
Ilipokuja nafuu wengi, pamoja na kwamba zile ticket za 32k walikuwa wanazipigia kelele zilikua hazipatikani kihivyo, maana zilikua ni chache sana, ilibidi ufanye booking labda 2 weeks or 3 weeks ahead ili kuzipata, hata hivyo bei zao, ukilinganisha na PW zilikua nafuu sana, na pia kwa sababu ndege zao zote ni kubwa, wanabeba abiria wengi kwa mpigo.
mwisho wa 2013 kulikua na safari ya kilimanjaro, mie nikabook fastjet mwenzangu akabook precision, nilishangaa kuona mimi nimelipa 100k zaidi kwa return ticket.
Sasa ninaenda tena moshi, nimecheck mtandao wa FastJet kwa tarehe nayotaka kusafiri ninahitaji kulipa 176k one way wakati PW kuna ticket ya 71K.
Nimejaribu kutizama FJ, hata kama unabook miezi miwili mbele, 32 elfu haipo tena, hii ni kusema bei za FJ sasa ziko juu kama tu PW au pengine zaidi