DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera, ndugu Faris Buruhani ameendelea kuwanadi wagombea wa udiwani na ubunge kwenye kata na majimbo mbalimbali ya mkoa wa Kagera, huku akiendelea kusisitiza na kuwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kuwachagua wagombea wanaotokana na Chama Cha Mapinduzi, ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo kwenye maeneo yao.
Akiwa katika jimbo la Karagwe, kata ya Nyabiyonza kwenye ufunguzi wa kampeni za Mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM, amewaomba wananchi wa Karagwe tarehe 29 Octoba 2025 kwenda kusafisha kabati na kuhakikisha hakuna mende hata mmoja atakaebaki kabatini.
Kwahiyo wakuu, sisi wananchi ndio mende au? Aliyeelewa anieleweshe🤔
Pia Soma: GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Kagera: Maneno tumepita bila kupingwa yanaweza kuwa sumu kupunguza kura za Chama chetu
Akiwa katika jimbo la Karagwe, kata ya Nyabiyonza kwenye ufunguzi wa kampeni za Mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM, amewaomba wananchi wa Karagwe tarehe 29 Octoba 2025 kwenda kusafisha kabati na kuhakikisha hakuna mende hata mmoja atakaebaki kabatini.
Kwahiyo wakuu, sisi wananchi ndio mende au? Aliyeelewa anieleweshe🤔
Pia Soma: GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Kagera: Maneno tumepita bila kupingwa yanaweza kuwa sumu kupunguza kura za Chama chetu