Farhina, amu, mazizimkavu, bak na wapishi wengine. Msaada wa mapishi ya beef burger.

Angel my dear kwa madikodiko zaidi kama upo fb kuna groups za mapishi zinasaidia sana kama nlikua huwezi hata kuchemsha maji unafunzwa hadi kua expert wa kupika pizza,recipe zimeelezwa kwa urahisi na ingredients zinapatikana kirahisi.Karibu
 
Asalam alykum all members of jf chef.

Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger.

Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio mbaya pengine ntapata kitu tasty zaidi.

Ila ile nyama sasa ndo kimbembe, jee kuna beef zake special? Au ni stake ya kawaida ina upishi wake tu?

Tunataka tuwe tunapika majumbani, ili tusipate tena kubunwa mahela yetu kwenye cafe, and hotels.

Mie niwajue tu hao akina Farhina na mazizmkavu baada ya hapo ntawafundisha hadi kupika ccm.
 
Waalayka salaam....

Ahahha unichekesha eti hutaki kubunwa mahela yako....lol

Haya twende kazi


Kwa kutaarisha nyama ya burger...

Mahitaji

1)Nyama ya kusaga...
2)Mayai
3)Chumvi kiasi
4)masala upendayo kuweka katika nyama..
5)pilipili manga
6)kitunguu saumu kidogo...
7)mafuta ya kupikia

Namna ya kutaarishaa..

1)weka nyama kwenye bakuli

2)tia chumvi,pilipili manga,saumu na masala upendayo chanaganya vizuri...

3)wacha nyama ikolee viungo kwa mda....

4)vunja mayai...toa ute wa mayai,hapa unahitaji kiini tu..

5)mimina kwenye chama na changanya vizuri...

6)tengeza maduara ukubwa kiasi ila yawe flat..(yasiwe manene ili nyama iwive vizuri ndani)


7)weka pan yako jikoni weka mafuta kidogo sana then aanza kukàanga nyama zako..(weka moto speed kiasi ili ziwive vizuri na taratibu)...geuza upande mwengine wa nyama na kaanga....geuza geuza hadi unahakikisha nyama imewiva vizuri sana...

santeee...malizia basi na jinsi ya kutengenea ule mkate wake. farkhina
 
Last edited by a moderator:
santeee...malizia basi na jinsi ya kutengenea ule mkate wake. farkhina

Poa usijali....

Mkate wa burger

Mahitaji....

1)Unga 4 kikombe
2)hamira 2 teaspoon..
3)mafuta 4 tablespoon na siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon (kwa ladha nzuri)
4)yai moja...
5)maji/maziwa
6)chumvi kiasi
7)ufuta(sesame seeds)..
8)baking powder 1/2 tablespoon....


1)Changanya unga,chumvi,baking powder na hamira vizuri

2)vunja yai...weka ute pembeni,kiini weka kwenye unga then weka mafuta na siagi...

3)mimina maji kidogo kidogo kwenye unga hadi uchanganyike vizuri kama wa chapati

4)kanda unga ili ulainike vzr kwa dakika 10-15

5)acha unga uumuke kwa muda wa nusu saa

6)kata kata maduara ukubwa kiasi...weka kwenye trey

7)kwa kutumia brush pakaa juu ya maduara ute wa yai...then nyunyizia ufuta juu yake

8)acha iumuke....washa moto 300-350°……hadi kuwiva ..
 

Attachments

  • 1387897215163.jpg
    1387897215163.jpg
    61.6 KB · Views: 119
Last edited by a moderator:
Angel my dear kwa madikodiko zaidi kama upo fb kuna groups za mapishi zinasaidia sana kama nlikua huwezi hata kuchemsha maji unafunzwa hadi kua expert wa kupika pizza,recipe zimeelezwa kwa urahisi na ingredients zinapatikana kirahisi.Karibu

Ok thanx dear.

Hio acc imenisumbua siku nyingi mwisho nkaachana na fb.

Ndo hio program inoitwa mapishia ya mwanbao?

Humskia wifi yangu.
 
Poa usijali....

Mkate wa burger

Mahitaji....

1)Unga 4 kikombe
2)hamira 2 teaspoon..
3)mafuta 4 tablespoon na siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon (kwa ladha nzuri)
4)yai moja...
5)maji/maziwa
6)chumvi kiasi
7)ufuta(sesame seeds)..
8)baking powder 1/2 tablespoon....


1)Changanya unga,chumvi,baking powder na hamira vizuri

2)vunja yai...weka ute pembeni,kiini weka kwenye unga then weka mafuta na siagi...

3)mimina maji kidogo kidogo kwenye unga hadi uchanganyike vizuri kama wa chapati

4)kanda unga ili ulainike vzr kwa dakika 10-15

5)acha unga uumuke kwa muda wa nusu saa

6)kata kata maduara ukubwa kiasi...weka kwenye trey

7)kwa kutumia brush pakaa juu ya maduara ute wa yai...then nyunyizia ufuta juu yake

8)acha iumuke....washa moto 300-350°……hadi kuwiva ..

MashAllah aleeyh
 
jamaniiiiiiiiiiiii kitu cha bonjour morocco au kule masaki njia panda mweeee.
Mate yamentokaje sasa
 
Mmmhu, umefika mbali boss wetu.
Lol.

Sie wengine nyama tunoweka katikati ni moja tu.

Malimbwata ndo kama haya mengine tunofundishana hapa, ya mapishi.

Asalam alykum all members of jf chef.

Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger.

Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio mbaya pengine ntapata kitu tasty zaidi.

Ila ile nyama sasa ndo kimbembe, jee kuna beef zake special? Au ni stake ya kawaida ina upishi wake tu?

Tunataka tuwe tunapika majumbani, ili tusipate tena kubunwa mahela yetu kwenye cafe, and hotels.
Mamito tumesubiri burger kula cjui umetusahauje ha JF....au zipo jikoni?
 
Mamito tumesubiri burger kula cjui umetusahauje ha JF....au zipo jikoni?

Ha ha haaaa, afu mi mchoyo enhee?
Kiukweli jana nimepika, zimetokea nis kiasi.

Lkn kwa vile nimejaribu nimepika kdg tu.

So next time ntapika kwa ajili ya members wooote wa mapishi.

Lol.
 
Poa usijali....

Mkate wa burger

Mahitaji....

1)Unga 4 kikombe
2)hamira 2 teaspoon..
3)mafuta 4 tablespoon na siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon (kwa ladha nzuri)
4)yai moja...
5)maji/maziwa
6)chumvi kiasi
7)ufuta(sesame seeds)..
8)baking powder 1/2 tablespoon....


1)Changanya unga,chumvi,baking powder na hamira vizuri

2)vunja yai...weka ute pembeni,kiini weka kwenye unga then weka mafuta na siagi...

3)mimina maji kidogo kidogo kwenye unga hadi uchanganyike vizuri kama wa chapati

4)kanda unga ili ulainike vzr kwa dakika 10-15

5)acha unga uumuke kwa muda wa nusu saa

6)kata kata maduara ukubwa kiasi...weka kwenye trey

7)kwa kutumia brush pakaa juu ya maduara ute wa yai...then nyunyizia ufuta juu yake

8)acha iumuke....washa moto 300-350°……hadi kuwiva ..
hahahahahahahahhhahaa jamani mate yana dondoka jamani unani tamanisha wewe acha tu
 
Back
Top Bottom