kwani kasema anataka kuoa?
Muulize yeye
kwani kasema anataka kuoa?
niliposoma 'nyama tunayowekaga katikati ya'
kidogo niseme astaghafirulahi
Asalam alykum all members of jf chef.
Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger.
Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio mbaya pengine ntapata kitu tasty zaidi.
Ila ile nyama sasa ndo kimbembe, jee kuna beef zake special? Au ni stake ya kawaida ina upishi wake tu?
Tunataka tuwe tunapika majumbani, ili tusipate tena kubunwa mahela yetu kwenye cafe, and hotels.
Waalayka salaam....
Ahahha unichekesha eti hutaki kubunwa mahela yako....lol
Haya twende kazi
Kwa kutaarisha nyama ya burger...
Mahitaji
1)Nyama ya kusaga...
2)Mayai
3)Chumvi kiasi
4)masala upendayo kuweka katika nyama..
5)pilipili manga
6)kitunguu saumu kidogo...
7)mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarishaa..
1)weka nyama kwenye bakuli
2)tia chumvi,pilipili manga,saumu na masala upendayo chanaganya vizuri...
3)wacha nyama ikolee viungo kwa mda....
4)vunja mayai...toa ute wa mayai,hapa unahitaji kiini tu..
5)mimina kwenye chama na changanya vizuri...
6)tengeza maduara ukubwa kiasi ila yawe flat..(yasiwe manene ili nyama iwive vizuri ndani)
7)weka pan yako jikoni weka mafuta kidogo sana then aanza kukàanga nyama zako..(weka moto speed kiasi ili ziwive vizuri na taratibu)...geuza upande mwengine wa nyama na kaanga....geuza geuza hadi unahakikisha nyama imewiva vizuri sana...
santeee...malizia basi na jinsi ya kutengenea ule mkate wake. farkhina
Mie niwajue tu hao akina Farhina na mazizmkavu baada ya hapo ntawafundisha hadi kupika ccm.
Angel my dear kwa madikodiko zaidi kama upo fb kuna groups za mapishi zinasaidia sana kama nlikua huwezi hata kuchemsha maji unafunzwa hadi kua expert wa kupika pizza,recipe zimeelezwa kwa urahisi na ingredients zinapatikana kirahisi.Karibu
Poa usijali....
Mkate wa burger
Mahitaji....
1)Unga 4 kikombe
2)hamira 2 teaspoon..
3)mafuta 4 tablespoon na siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon (kwa ladha nzuri)
4)yai moja...
5)maji/maziwa
6)chumvi kiasi
7)ufuta(sesame seeds)..
8)baking powder 1/2 tablespoon....
1)Changanya unga,chumvi,baking powder na hamira vizuri
2)vunja yai...weka ute pembeni,kiini weka kwenye unga then weka mafuta na siagi...
3)mimina maji kidogo kidogo kwenye unga hadi uchanganyike vizuri kama wa chapati
4)kanda unga ili ulainike vzr kwa dakika 10-15
5)acha unga uumuke kwa muda wa nusu saa
6)kata kata maduara ukubwa kiasi...weka kwenye trey
7)kwa kutumia brush pakaa juu ya maduara ute wa yai...then nyunyizia ufuta juu yake
8)acha iumuke....washa moto 300-350° hadi kuwiva ..
Mmmhu, umefika mbali boss wetu.
Lol.
Sie wengine nyama tunoweka katikati ni moja tu.
Malimbwata ndo kama haya mengine tunofundishana hapa, ya mapishi.
Mamito tumesubiri burger kula cjui umetusahauje ha JF....au zipo jikoni?Asalam alykum all members of jf chef.
Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger.
Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio mbaya pengine ntapata kitu tasty zaidi.
Ila ile nyama sasa ndo kimbembe, jee kuna beef zake special? Au ni stake ya kawaida ina upishi wake tu?
Tunataka tuwe tunapika majumbani, ili tusipate tena kubunwa mahela yetu kwenye cafe, and hotels.
Mamito tumesubiri burger kula cjui umetusahauje ha JF....au zipo jikoni?
Nimeolewa tayari...
Samahani
hahahahahahahahhhahaa jamani mate yana dondoka jamani unani tamanisha wewe acha tuPoa usijali....
Mkate wa burger
Mahitaji....
1)Unga 4 kikombe
2)hamira 2 teaspoon..
3)mafuta 4 tablespoon na siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon (kwa ladha nzuri)
4)yai moja...
5)maji/maziwa
6)chumvi kiasi
7)ufuta(sesame seeds)..
8)baking powder 1/2 tablespoon....
1)Changanya unga,chumvi,baking powder na hamira vizuri
2)vunja yai...weka ute pembeni,kiini weka kwenye unga then weka mafuta na siagi...
3)mimina maji kidogo kidogo kwenye unga hadi uchanganyike vizuri kama wa chapati
4)kanda unga ili ulainike vzr kwa dakika 10-15
5)acha unga uumuke kwa muda wa nusu saa
6)kata kata maduara ukubwa kiasi...weka kwenye trey
7)kwa kutumia brush pakaa juu ya maduara ute wa yai...then nyunyizia ufuta juu yake
8)acha iumuke....washa moto 300-350°……hadi kuwiva ..