Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,447
- 46,207
Fanya maamuzi kama Mwanaume uliekamilika,piga stop haraka unakaribisha matatizo makubwa nyumbani kwakoNashukuru sana mkuu .... Nimekuelewa, niliuliza hili swali baada mke wangu kuanza kusali huko sasa Imekua changamoto maana Mimi nasali Lutheran yeye anasali huko faragha na huku Lutheran sasa nashindwa kuelewa which is which.....
Ushauri plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mark my words,utarudi hapa kuomba ushauri ikishakuwa too late.
Shida ya wanawake wakishalewa huo ugimbi yuko tayari umfanye chochote kuliko kutoka hukoMkuu mark my words,utarudi hapa kuomba ushauri ikishakuwa too late.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namshangaa sana jamaa anasema yeye ni Mlutheri halafu anaruhusu Mke asali dhehebu jingine,hapa anatafuta janga la ndoa yake.Shida ya wanawake wakishalewa huo ugimbi yuko tayari umfanye chochote kuliko kutoka huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako vzr SNA wale watu ni walokole pureeee wapo tayari muda wowote kumsubiri kristo akirudi.
Wanatubu dhambi na kuacha kabisaaa na ukifanya dhambi kuna manabii watafunuliwa matendo yko machafu yote uliotenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Namshangaa sana jamaa anasema yeye ni Mlutheri halafu anaruhusu Mke asali dhehebu jingine,hapa anatafuta janga la ndoa yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaa nikweli kabisa ni zaidi ya miaka 5 nilikuja hapa JF kuomba ushauri lkn kwa kifupi tuu ni kwamba ilinibidi kukubaliana na hali kwanza Cz haikua rahisi ukizingatia mwenzangu (mke) alikua serious sana na hakua tayari kuacha kwenda kwa namna yoyote Ile so nilimwacha aendelee na hicho kikundi chake baada yakujiridhisha kupitia baadhi ya viongozi wa dini kua ni sehemu salama na sio dhehebu ila nikikundi cha maombi ambacho mtu yoyote wadhehebu lolote anaweza kujiunga lakini bado akabaki kwenye dhehebu lake.Any feedback mkuu
Na wewe ujiunge sasaYaa nikweli kabisa ni zaidi ya miaka 5 nilikuja hapa JF kuomba ushauri lkn kwa kifupi tuu ni kwamba ilinibidi kukubaliana na hali kwanza Cz haikua rahisi ukizingatia mwenzangu (mke) alikua serious sana na hakua tayari kuacha kwenda kwa namna yoyote Ile so nilimwacha aendelee na hicho kikundi chake baada yakujiridhisha kupitia baadhi ya viongozi wa dini kua ni sehemu salama na sio dhehebu ila nikikundi cha maombi ambacho mtu yoyote wadhehebu lolote anaweza kujiunga lakini bado akabaki kwenye dhehebu lake.
Mpaka Sasa mama watoto yupo huko pia nilicho observe kwenye hiki kikundi ; upendo, utii kwa mke/mme na jamii kwa ujumla, Kwa ujumla advantage ni nyingi kuliko disadvantage.
Umesahau kusema wanavua viatu waingipo Faraghani.UWATA (Uamsho wa Wakristo Tanzania) ni dhehebu la dini ya kikristo kama yalivyo madhehebu mengine. Dini na dhehebu lolote anakaribishwa kujiunga dhehebu hili.
Kujiunga nao, unatakiwa kutubu dhambi na kuziacha kabisa.
Utambulisho wao wa mavazi kwa wanawake ni sketi ndefu ya marinda na blauzi au gauni ndefu yenye marinda, kukata nywele, kutovaa heleni, bangili, cheni, rozari wala mapambo aina yoyote. Kwa wanaume, suruali ya kitambaa na shati au tisheti, suruali za jeans haziruhusiwi.
Nyumba yao ya ibada wanaiita "faragha", yaani wanakutana na kusali pasipo kujionyesha machoni pa watu. Faraghani huwa hakuna mabenchi wala viti, bali kuna mikeka tu, hii wanaenzi agano la kale la mitume na kinabii.
Mwanzilishi wa imani hii anaitwa Harrison Mwakiswalele.