Fanya hivi kuchelewa kufika kileleni

Fanya hivi kuchelewa kufika kileleni

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️

Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani yako.

Tatizo lako la kuwahi kufika, mzizi wake umeanzia katika mfumo wa fahamu – yaani, ule mfumo wa ndani ya mwili wako unaotuma ujumbe kutoka ubongo kwenda kwenye misuli yako ya uume.

Ukweli ni kwamba: Kuwahi kufika kileleni si tatizo la uume, ni tatizo la mfumo wa fahamu.

Unapokuwa na hofu, presha ya kufanya vizuri kumridhisha mkeo, au papara ya kushiriki tendo, mfumo wako wa fahamu huingia kwenye hali ya kitaalam inayoitwa flight mode na fight mode au (kukimbia au kupigana) – na hapa ndipo unajikuta ukimaliza mapema bila kukusaidia.

Suluhusho la haraka; ni kuvuta pumzi na kutoa nje kwa kanuni niliyokufundisha katika video Ile ya dakika 7. Kila ukifanya hivyo, unafukuza kabisa wasiwasi ndani yako.

Leo tena chukua dakika chache tu, kaa sehemu tulivu, kaa kimya, vuta pumzi ndefu, na anza kuhesabu taratibu kimoyo moyo ukiwa umefumba macho, hesabu kuanzia 20 hadi 0 huku unatoa pumzi taratibu

Hakikisha unahesabu ndani ya akili yako, bila haraka. Kila pumzi ni nafasi ya kuunganisha mwili na akili yako. Kadri unavyoendelea, utagundua kuwa akili yako inaanza kutulia, na mwili wako unapata nguvu kubwa ya ndani taratibu kwa uhakika.

Hii ndiyo hatua ya kwanza ya kujenga kudhibiti wa kuwahi kufika kileleni kuanzia ndani. Haya anza sasa. Badae nipe mrejesho wa hali yako imeendaje
 
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️

Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani yako.

Tatizo lako la kuwahi kufika, mzizi wake umeanzia katika mfumo wa fahamu – yaani, ule mfumo wa ndani ya mwili wako unaotuma ujumbe kutoka ubongo kwenda kwenye misuli yako ya uume.

Ukweli ni kwamba: Kuwahi kufika kileleni si tatizo la uume, ni tatizo la mfumo wa fahamu.

Unapokuwa na hofu, presha ya kufanya vizuri kumridhisha mkeo, au papara ya kushiriki tendo, mfumo wako wa fahamu huingia kwenye hali ya kitaalam inayoitwa flight mode na fight mode au (kukimbia au kupigana) – na hapa ndipo unajikuta ukimaliza mapema bila kukusaidia.

Suluhusho la haraka; ni kuvuta pumzi na kutoa nje kwa kanuni niliyokufundisha katika video Ile ya dakika 7. Kila ukifanya hivyo, unafukuza kabisa wasiwasi ndani yako.

Leo tena chukua dakika chache tu, kaa sehemu tulivu, kaa kimya, vuta pumzi ndefu, na anza kuhesabu taratibu kimoyo moyo ukiwa umefumba macho, hesabu kuanzia 20 hadi 0 huku unatoa pumzi taratibu

Hakikisha unahesabu ndani ya akili yako, bila haraka. Kila pumzi ni nafasi ya kuunganisha mwili na akili yako. Kadri unavyoendelea, utagundua kuwa akili yako inaanza kutulia, na mwili wako unapata nguvu kubwa ya ndani taratibu kwa uhakika.

Hii ndiyo hatua ya kwanza ya kujenga kudhibiti wa kuwahi kufika kileleni kuanzia ndani. Haya anza sasa. Badae nipe mrejesho wa hali yako imeendaje
Acheni kupotosha vijana. Mwanaume kufika mapema sio tatizo, bali ni tofauti za kimaumnele kati ya jinsia me na ke.

Dakika 2-5 ni muda sahihi kabisa kwa mwanaume asiyekua na shida yoyote kumwaga, lakini kwa mwanamke ni kesi nyingine kwa sababu jinsia ke maumbile yao yapo complex kidogo.

Zipo mbinu za kujichelewesha, lakini mwanaume akiamua kujichelewesha maana yake anafanya favor ili na mwanamke nae afike.
 
Yote ya nini haya? Ebu nielekezeni chimbo lolote lililo karibu na Ubungo ukiacha River side
 
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️

Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani yako.

Tatizo lako la kuwahi kufika, mzizi wake umeanzia katika mfumo wa fahamu – yaani, ule mfumo wa ndani ya mwili wako unaotuma ujumbe kutoka ubongo kwenda kwenye misuli yako ya uume.

Ukweli ni kwamba: Kuwahi kufika kileleni si tatizo la uume, ni tatizo la mfumo wa fahamu.

Unapokuwa na hofu, presha ya kufanya vizuri kumridhisha mkeo, au papara ya kushiriki tendo, mfumo wako wa fahamu huingia kwenye hali ya kitaalam inayoitwa flight mode na fight mode au (kukimbia au kupigana) – na hapa ndipo unajikuta ukimaliza mapema bila kukusaidia.

Suluhusho la haraka; ni kuvuta pumzi na kutoa nje kwa kanuni niliyokufundisha katika video Ile ya dakika 7. Kila ukifanya hivyo, unafukuza kabisa wasiwasi ndani yako.

Leo tena chukua dakika chache tu, kaa sehemu tulivu, kaa kimya, vuta pumzi ndefu, na anza kuhesabu taratibu kimoyo moyo ukiwa umefumba macho, hesabu kuanzia 20 hadi 0 huku unatoa pumzi taratibu

Hakikisha unahesabu ndani ya akili yako, bila haraka. Kila pumzi ni nafasi ya kuunganisha mwili na akili yako. Kadri unavyoendelea, utagundua kuwa akili yako inaanza kutulia, na mwili wako unapata nguvu kubwa ya ndani taratibu kwa uhakika.

Hii ndiyo hatua ya kwanza ya kujenga kudhibiti wa kuwahi kufika kileleni kuanzia ndani. Haya anza sasa. Badae nipe mrejesho wa hali yako imeendaje
Sexual topics become the main topic of conversation in areas with high levels of illiteracy. They would much rather impart their sexual expertise than learn about socioeconomic status..
 
🫵KIDUME...

💔Punyeto | Kujichua | Masturbation Imeshakuathiri ipasavyo Na Umeshaacha ?

💪Sasa Unahitaji Muongozo Thabiti wa Kuanza Kujiimarisha na kuwa Kidume Shupavu | Mwanaume Rijali, Kiufupi Kurudi katika Hali yako ya Zamani..

👇MUONGOZO wako Haupishani sana na KIDUME PROGRAMU

1️⃣ KUACHA | STOP IT
  • Hii ni Hatua ya Kwanza Kabisa Kwako Kidume Kabla Hujaanza Process zingine
  • Kwasababu Utakuwa Unafanya Kazi Bure kufanya Mazoezi ya KEGEL huku bado unakula Nyeto, Wahenga Walisema ni Kutwanga Maji kwenye kinu
  • Kwahiyo, Hatua ya Kwanza ni Kuacha, ambapo inahusisha na Kuacha kuangalia Video za Ngono na Picha Chafu

2️⃣MAZOEZI YA KEGEL
  • Haya Unapaswa Kuyafanya Asubuhi na Jioni. AU Mara Moja kwa Siku
  • Tumia Dakika 15 hadi 30 kwa siku
  • Hayarefushi Uume wala Kunenepesha
  • Yanakupa Uzoefu wa Tendo
  • Yatakusaidia Kukupa Pumzi ya Kutosha
  • Yanaruhusu Damu Kufika kwa wingi kwenye mishipa Ya Uume.
  • Yanakufanya Uwe Imara Wakati wote ( lower body )
  • Fanya Kila Siku tu
  • Hayana Mwisho

3️⃣CHAKULA
  • Hapa sana sana jitahidi uache Vyakula | Vitu vifuatavyo
  • Pombe, Sigara
  • Sukari na Mafuta Mengi
  • Soda na Drink Energy
  • Vyakula vya Viwandani VISIVYO na Ulazima
✅Upo Muongozo Wa Chakula Unaotumwa Kila siku Kwenye Group Kwa ajili Yako Kidume
- Uchukue na Upangilie Kulingana na Bajeti | Uwezo wako wa Kiuchumi

4️⃣TIBALISHE / DAWA
  • Kwa upande Wetu Tuna Tibalishe | Dawa Iliyotengenezwa kwa Mitishamba Asilia, kutoka Kanda ya Ziwa
  • Ambayo Inakwenda Kutibu Moja kwa moja Tatizo La Upungufu wa nguvu za kiume
  • ipo Katika Mfumo wa Unga
  • Dozi yake ni Mara Moja Tu
  • Sio Booster

🫰SIRI NI HII | SECRET
1. Mazoezi na Vyakula Vitakusaidia Kupona Endapo Ukivifuata kwa Mfululizo na Bila Kuacha, Yaani Kila Siku Ndio IWE Lifestyle Yako Kidume

2. Ukitaka Matokeo ya Haraka Zaidi, Zingatia Vyote Hapo Juu ! ILA kama Hauna Haraka Basi Anza na Kimojawapo Then Kingine Kifuate
 
KINACHOFANYA UPATE ILE RAHA WAKATI WA TENDO


1️⃣KWA MWANAUME
Ukiachana na Hisia za mapenzi anazopata mwanaume pale anapomuona Mwanamke wake kabla ya tendo.
Kitu Kinachomfanya Mwanaume Apate raha zaidi wakati wa Tendo la Ndoa ni hivi....
1. Utelezi | Ute ute Uliopo Kwenye Uke - Hiki ni kitu kinachomfanya Mwanaume apagawe zaidi akiwa katikati ya tendo la Ndoa kwasababu inamfanya aingie na kutoka kwa urahisi zaidi na kufanya tendo la ndoa liwe jepesi sana. Na Ndio maana Ukipata Mwanamke mwenye ute ute mwingi basi hapo ni kuteleza tu mzee..
⚠️Na Ndio Maana Chama cha Wapiga Punyeto Tanzania (CHAPUTA) wanatumia mbinu yoyote wapate utelezi uwe wa sabuni au Futa la Nazi 😂 Kufanya Mchezo huo uwe wa kusisimua zaidi pale wanapokosa Mwenza ( Usipige Punyeto Kidume )

2. Joto La Uke - Kitu Kingine kinachompa Mwanaume raha zaidi akiwa kwenye mchezo wa 6 kwa 6 ni lile Joto linalopatikana kwa Mwanamke, Yaani kama wewe uliwahi kujichua Au unaendelea kujichua Basi Ukikutana na Lile Joto ni Dakika 1 tu Chali.. Lakini kama ni Kidume Haswa Lile Joto litakupagawisha zaidi.

2️⃣KWA MWANAMKE
Ukiachana na Hisia na Msisimko wa Mapenzi kwa Mwanamke Anaoupata Wakati wa Maandalizi. kitu kinachomfanya Apate raha zaidi akiwa katikati ya tendo la Ndoa ni vitu hivi.....

1. Kuguswa Maeneo Muhimu Zaidi
Kuna yale maeneo nyeti na Muhimu zaidi Mwanamke akiguswa | akichezewa ipasavyo wakati mnaendelea na tendo basi unamaliza kabisa Huyo Bi Dada ( Nilishafundisha Hayo Maeneo Pitia Slide za Juu Soma )

2. Uume Kuwa Ngangari | Mgumu | Imara
- Yaani Hapa Namaanisha Mwanamke anapenda akisikia kitu kigumu kikiwa kinazama haswa na kusugua kuta za Uke wake ikiwemo G-spot ambayo ipo inchi 1 hadi 2 kutoka mlango wa Uke. Hii kitu ikisuguliwa na Uume Imara Ndio pale Mwanamke anafika kileleni na wengine kurusha yale Maji wakiwa wanafika kileleni.
⚠️Tatizo Linakuja Pale Kidume Uume wako Ukiwa Legelege sasa Yaani Hata kuingia tu hadi Uume sapoti, Je? Kwenye Kusugua mule ndani utafanya kazi kweli ?
⚠️ Ndipo Pale Mwanaume Unashindwa Kuendelea na Teno La Ndoa Kwasababu Uume wako upo Legelege na Muda mwingine hausimami kabisa..

🚨SABABU ZA UUME WAKO KUSIMAMA LEGELEGE | KUTOSIMAMA KABISA BAADA YA RAUNDI YA KWANZA NI ZIFUATAZO
1. kujichua | Punyeto
2. Pombe | Sigara
3. Lishe Duni
4. Magonjwa | kama Kisukari
5. Unene | kitambi

💔Hivyo Hupelekea Damu isifike kwa Usahihi kwenye Mishipa yako ya Uume na Uume Kuwa Imara na Mgumu.

✅SULUHISHO
🫵Anza Kufanya Kidume Programu
 
📌VIFAA
• Tende | Korosho | Karanga Mbichi | Maziwa Fresh | Ndizi | Parachichi | Muhogo | Almonds au Lozi | Maji ya Dafu | Nazi

✅FAIDA
1. Kukupa Hamu ya Tendo la Ndoa
2. Kuongeza wingi wa Shahawa au Mbegu Za kiume
3. Kukupa Virutubisho Lishe | Vitamins | Madini Muhimu katika Mwili

🫵USHAURI
1️⃣ Haina Muda Maalumu | Wewe Tumia Tu
2️⃣ Sio Lazima Utumie Kila Siku | Tumia Kadri Ya Uwezo na Nafasi Yako
3️⃣ Sio Lazima Uweke Vitu vyote Hapo | Weka Vitu Kulingana na Upatikanaji wake Eneo Uliopo
 
HABARI ZA MUDA HUU WADAU...

UFUATAO NI MUONGOZO WA PROGRAMU YA KUJIIMARISHA KWA MTU WA AINA HII.

1. aliyejichua na kwa Muda Mfupi au Mrefu na Akaacha.
2. AnayeWahi Kumwaga na Kushindwa Kurudia Tendo
3. Anayetoa Mbegu Nyepesi na Uume Legelege

1️⃣MAZOEZI YA KEGEL
  • Haya Unapaswa Kuyafanya Asubuhi na Jioni. AU Mara Moja kwa Siku
  • Tumia Dakika 15 hadi 30 kwa siku
  • Hayarefushi Uume wala Kunenepesha
  • Yanakupa Uzoefu wa Tendo
  • Yatakusaidia Kukupa Pumzi ya Kutosha
  • Yanaruhusu Damu Kufika kwa wingi kwenye mishipa Ya Uume.
  • Yanakufanya Uwe Imara Wakati wote ( lower body )
  • Fanya Kila Siku tu
  • Hayana Mwisho

2️⃣CHAKULA
  • Hapa sana sana jitahidi uache Vyakula | Vitu vifuatavyo
  • Pombe, Sigara
  • Sukari na Mafuta Mengi
  • Soda na Drink Energy
  • Vyakula vya Viwandani VISIVYO na Ulazima
✅Upo Muongozo Wa Chakula Unaotumwa Kila siku Kwenye Group Kwa ajili Yako Kidume
- Uchukue na Upangilie Kulingana na Bajeti | Uwezo wako wa Kiuchumi

3️⃣TIBALISHE / DAWA
  • Kwa upande Wetu Tuna Tibalishe | Dawa Iliyotengenezwa kwa Mitishamba Asilia, kutoka Kanda ya Ziwa
  • Ambayo Inakwenda Kutibu Moja kwa moja Tatizo La Upungufu wa nguvu za kiume
  • ipo Katika Mfumo wa Unga
  • Dozi yake ni Mara Moja Tu
  • Sio Booster

🫰SIRI NI HII | SECRET
1. Mazoezi na Vyakula Vitakusaidia Kupona Endapo Ukivifuata kwa Mfululizo na Bila Kuacha, Yaani Kila Siku Ndio IWE Lifestyle Yako Kidume

2. Ukitaka Matokeo ya Haraka Zaidi, Zingatia Vyote Hapo Juu ! ILA kama Hauna Haraka Basi Anza na Kimojawapo Then Kingine Kifuate
 
📌 SAVE HII VIDEO KIDUME
☝️ HAYA NDIO MAZOEZI YA KEGEL KWA WANAUME
✅ Yatakupa stamina na pumzi
✅ Yatakufanya uume kuwa ngangari
✅ Yatafanya damu ifike kwa wingi kwenye uume
✅ Yatakuweka FIT muda wote
🕕 Fanya asubuhi na jioni (au mara moja kwa siku)
🕞 Fanya mara 3 | 4 kwa kila seti
🕚 Kila seti ina raundi 20 hadi 30
❌ HAYAREFUSHI UUME
❌ HAYANENEPESHI UUME
⚠️ HAYANA MUDA MAALUMU — fanya hadi uzeeke 😂
(kama hiyo ni ngumu basi acha)
📌 HIVI NDIVYO TUNAVYOHESABU RAUNDI KWENYE MAZOEZI YA KEGEL
📌 Kila zoezi unahesabu kuanzia 10 hadi 30, kulingana na pumzi yako
📌 Kila zoezi unarudia mara 3 au 4 hadi 5, kulingana na pumzi yako pia
👆 Fanya kama anavyohesabu hapo juu mtaalamu
⚠️ Mazoezi haya ni kwa ajili ya kukupa pumzi tu ukiwa kitandani
⚠️ Hayarefushi uume
✅ Unachokiona mtaalamu anakifanya hapo, ndicho utakachofanya kitandani 😀
✅ Tunaita MAANDALIZI KABLA YA MCHEZO
📌 HAYA NI MAZOEZI YA KEGEL KWA BEGINNER YOYOTE YULE
⚠️ Hakikisha una video MOJA au MBILI TU kwenye simu yako
⚠️ FANYIA KAZI ZOEZI HILI PEKEE — litakusaidia ku-focus aina moja ya mazoezi,
badala ya kuwa na video nyingi na kupoteza umakini.
 
Vyumaa hivyoo
 

Attachments

  • VID-20260128-WA0079.mp4
    4.3 MB
Chunahioo
 

Attachments

  • VID-20260128-WA0157.mp4
    4 MB
Back
Top Bottom