Fanya hivi Demu akikuzungusha muda mrefu!

Fanya hivi Demu akikuzungusha muda mrefu!

Kuna wakati unaandika pumba

Ninachokupendea nyuzi zako sio ndefu
 
Nakukumbusha: Baharia Pia Ibara Ya 3 Inasema Hivi Nanukuu " Jinsi Ya Kumtesa Mwanamke Ki-saikolojia Mpe Nahitaji Yote Anayotaka Hata Mengine Asiyoyataka(Ushauri, Pesa, Shopping, Out Za Kutosha, n.k) Huku Ukijifanya Huna Mpango Wa Mbunye/Papuchi/Mzigo/Chini/Kitumbua. ".
Mwisho Wa Kunukuu Mabaharia
Huu ujinga huwa wanafanya wanaume wa kinondon.
 
Demu yoyote Yule we mpige shoo ya NGUVU haswa yaan uone lazima akuwaze muda wote.... Simu hazikauki.....
 
Mwanamke hakomolewi na mapenzi ya kutumia nguvu na kutoana jasho, ila anakomolewa na mapenzi laini na yenye kumfanya atamani kuwa nawe siku zote.

Akitoka hapo lazima ahisi kweli alikuwa na MWANAUME, tusiwaparamie kama tunakwea minazi ili tu kukidhi haja zetu. Ukitaka kumkomoa mpe kitu special ambacho atajivunia kwako.
ndio hasa lengo la uzi huu, unampa mapenzi matakatifu then baada ya hapo unampotezea na yeye akome.
 
Kwani unadhani nitashindwa kukulipia kodi ya mwaka huko salasala unapokaa,na vi juice za Mack, be serious miss
Mahaba na wewe kichwa panzi?[emoji44][emoji44] [emoji126][emoji126]
 
Ni kweli kwa namna ambavyo mkataba wa umoja wa mataifa unavyotaka ni ngumu Simba kuingia katika soko la mbaazi kwa vile India imepeleka wanajeshi kulinda amani kwenye visiwa vya Caribbean.
Tatizo Walio Wengi Hawajui Kwamba ukichukua Mchanganyiko wa Soda Na nyanya Chungu uchumi wetu Utakua Mara Dufu. Wao Kila Siku Wako Busy Kununua Samaki Wakati Nyiwa Na twiga ni Marafiki Wa kudumu.
 
Tatizo Walio Wengi Hawajui Kwamba ukichukua Mchanganyiko wa Soda Na nyanya Chungu uchumi wetu Utakua Mara Dufu. Wao Kila Siku Wako Busy Kununua Samaki Wakati Nyiwa Na twiga ni Marafiki Wa kudumu.
Kweli siku zote iko hivyo kwenye maendeleo lazima jua liwake na madarasa hayana waalimu tunabaki kupata ajali zisizo na uwezeshaji kwa vijana.
 
Kwani unadhani nitashindwa kukulipia kodi ya mwaka huko salasala unapokaa,na vi juice za Mack, be serious miss
Nani aliekuambia nakaa salasala mie..vijuice vya mak hata mwenyewe Nina ubavu wa kuvinunua
 
Kweli siku zote iko hivyo kwenye maendeleo lazima jua liwake na madarasa hayana waalimu tunabaki kupata ajali zisizo na uwezeshaji kwa vijana.
chanzo Kikuu cha Haya Yote ni Viwanda Kuendelea Kuitegemea TFF Wakati TBC Na Hashimu Rungwe Bado Wako Hai. Haiwezekani Mvua Inyeshe Kiangazi Wakati Bahari Na Pundamilia Ndio Vivutio Vyetu, Hii Sio Sahihi Kabisa.
 
Nani aliekuambia nakaa salasala mie..vijuice vya mak hata mwenyewe Nina ubavu wa kuvinunua
Outing zangu nakupa trip Dubai tukirudi una mimba ya wiki mbili!, fungua tu Pm tuyajenge I hope hujawahi kupanda ndege kwa nauli yako mwenyewe
 
Back
Top Bottom