Fanya hivi Demu akikuzungusha muda mrefu!

Fanya hivi Demu akikuzungusha muda mrefu!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Hii ni kwa wale mabaharia tu,watoto wa mama piteni kushoto huko!
Unapomfuatilia Demu na akaonyesha nyodo za hapa na pale wewe vumilia tu jifanye mpole na mstaharabu huku ukijiribu kukwepa mishale ya mizinga kadri uwezavyo!

Siku akikupa papuchi cheza gemu kama ile ya Liverpool na Barcelona aliyechezea 4,kisha baada ya hapo ukimsindikiza akikupigia usijibu SMS wala akipiga usipokee!
Hii itamtesa kisaigologia next time atakuwa na heshima kama zote
 
Hii ni kwa wale mabaharia tu,watoto wa mama piteni kushoto huko!
Unapomfuatilia Demu na akaonyesha nyodo za hapa na pale wewe vumilia tu jifanye mpole na mstaharabu huku ukijiribu kukwepa mishale ya mizinga kadri uwezavyo!
Siku akikupa papuchi cheza gemu kama ile ya Liverpool na Barcelona aliyechezea 4,kisha baada ya hapo ukimsindikiza akikupigia usijibu SMS wala akipiga usipokee!
Hii itamtesa kisaigologia next time atakuwa na heshima kama zote
Tatizo linakuja pale unapokuwa umeelewa show alfu wewe ndio unaanza kuteseka.
 
Naona kuna ongezeko la matumizi mabaya sana ya neno mabaharia.

Tunalifanyia kazi na katibu wetu Daby ataleta mrejesho. Jumuiya yetu inaheshima zake, hatutanyamaza kuona inatwezwa na kudharaulika.
 
Ni ukweli, mwanamke ukimkula halafu ukawa kama unakaa kaa kimya after, ANAYESEKA SANA
 
Naona kuna ongezeko la matumizi mabaya sana ya neno mabaharia.

Tunalifanyia kazi na katibu wetu Daby ataleta mrejesho. Jumuiya yetu inaheshima zake, hatutanyamaza kuona inatwezwa na kudharaulika.
Nyie watoto wa mama Uzi huu sio wenu
 
Mwanamke hakomolewi na mapenzi ya kutumia nguvu na kutoana jasho, ila anakomolewa na mapenzi laini na yenye kumfanya atamani kuwa nawe siku zote.

Akitoka hapo lazima ahisi kweli alikuwa na MWANAUME, tusiwaparamie kama tunakwea minazi ili tu kukidhi haja zetu. Ukitaka kumkomoa mpe kitu special ambacho atajivunia kwako.
 
Mwanamke hakomolewi na mapenzi ya kutumia nguvu na kutoana jasho, ila anakomolewa na mapenzi laini na yenye kumfanya atamani kuwa nawe siku zote.

Akitoka hapo lazima ahisi kweli alikuwa na MWANAUME, tusiwaparamie kama tunakwea minazi ili tu kukidhi haja zetu. Ukitaka kumkomoa mpe kitu special ambacho atajivunia kwako.
Kama wewe siyo mwanamke huu ushauri wako ni batili hivyo nasema tutumie solar na nishati nyingine ndogo ndogo ili tuinusuru Yanga na Man U kushuka daraja.
 
Hi mbinu nimeitumia Sana,ila Kuna mmoja nilimvua nguo zote nikamtizama nakumwambia vaa uwende huna ladha
 
Nakukumbusha: Baharia Pia Ibara Ya 3 Inasema Hivi Nanukuu " Jinsi Ya Kumtesa Mwanamke Ki-saikolojia Mpe Nahitaji Yote Anayotaka Hata Mengine Asiyoyataka(Ushauri, Pesa, Shopping, Out Za Kutosha, n.k) Huku Ukijifanya Huna Mpango Wa Mbunye/Papuchi/Mzigo/Chini/Kitumbua. ".
Mwisho Wa Kunukuu Mabaharia
 
Hii ni kwa wale mabaharia tu,watoto wa mama piteni kushoto huko!
Unapomfuatilia Demu na akaonyesha nyodo za hapa na pale wewe vumilia tu jifanye mpole na mstaharabu huku ukijiribu kukwepa mishale ya mizinga kadri uwezavyo!
Siku akikupa papuchi cheza gemu kama ile ya Liverpool na Barcelona aliyechezea 4,kisha baada ya hapo ukimsindikiza akikupigia usijibu SMS wala akipiga usipokee!
Hii itamtesa kisaigologia next time atakuwa na heshima kama zote
huu utoto nilikuwaga naufanya secondary form 3 A science
 
Kama wewe siyo mwanamke huu ushauri wako ni batili hivyo nasema tutumie solar na nishati nyingine ndogo ndogo ili tuinusuru Yanga na Man U kushuka daraja.
Ni kweli kwa namna ambavyo mkataba wa umoja wa mataifa unavyotaka ni ngumu Simba kuingia katika soko la mbaazi kwa vile India imepeleka wanajeshi kulinda amani kwenye visiwa vya Caribbean.
 
Back
Top Bottom